Sheria za nchi na za Ulinzi na Usalama zinaruhusu Uchaguzi kufanyika Usiku?

Sheria za nchi na za Ulinzi na Usalama zinaruhusu Uchaguzi kufanyika Usiku?

Sheria za CCM zinakataza maana wengine Huwa wanakuwa tayari viringeni,

Halafu anainuka Mzee mmoja kutuambia kuwa wachawi wote walishakufa Ili kutupumbaza!!
 
Ndo mana polisi wapo eneo la tukio, leo lazima yule mzee wa konyagi arudi Moshi amechanganyikiwa
 
Ingekuwa CCM mchana ule ule Mshindi angepatikana
Hahaha kwasababu ccm huwa hakuna uchaguzi, mwenyekiti anajipendekeza halafu ana wauliza kama mmeridhia aendelee na awe mgombea wa urais, mnaitikia kwa kishindo, ndiyoooo.

Anasema basi kikao kimeisha hadi mwakani, wajumbe mnaondoka.

Siyo ngumu kuongoza ccm, mnakubali kila kitu.
 
Back
Top Bottom