mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Mnaopinga ndoa mnaishi ulaya au America?
Kama ni africa mnazingua.
Sheria za wenzetu zinawabeba wanawake,mkiachana ni pasu kwa pasu,lakini sheria zetu zinawakandamiza wanawake.
Ewe kidume rijali tUmia mapungufu ya sheria hizi kuoa na kuacha kadri uwezavyo kabla hazijabadilishwa.
Oa leo akizingua piga chini aondoke na madera yake tu
Kama ni africa mnazingua.
Sheria za wenzetu zinawabeba wanawake,mkiachana ni pasu kwa pasu,lakini sheria zetu zinawakandamiza wanawake.
Ewe kidume rijali tUmia mapungufu ya sheria hizi kuoa na kuacha kadri uwezavyo kabla hazijabadilishwa.
Oa leo akizingua piga chini aondoke na madera yake tu
