Mnaopinga ndoa mnaishi ulaya au America?
Kama ni africa mnazingua.
Sheeia za wenzetu zinawabeba wanawake,mjiaxhana ni pasu kwa pasu,lakini sheria zetu zinawakandamiza wanawake.
Ewe kidume rijali tUmia mapungufu ya sheeia hizi kuoa na kuacha kadri uwezavyo kabla hazijabadilishwa.
Oa leo akizingua piga chini aondoke na madera yake tu
Udhaifu tu, nilizwe na mwanamke hahahah! Yani kiroho safi nasonga mbele bila hata ugomvi, wanapanga foleni wengine fasta walikua wanasubiri chanceKabisaaa eti mtu anakuja humu kulia lia sijui mke kamfanya nini,fukuza mbwa hiyo
Hii nayo ina loophole [emoji23][emoji23] watasema ali sign under duressWahanga au Waathirika wa Sheria za ndoa mara nyingi sana huwa ni wale Watu ambao Wana upeo Mdogo Sana wa kufikiri. Hao ndio Waathirika wakubwa zaidi wa Sheria za ndoa.
Kuna Ukweli mchungu Sana kuhusiana na msemo huu wa Wajinga ndio waliwao!
Hata huko kwenye Nchi za ughaibuni, kuna suala la Pre-nuptial Contract kwa Wanandoa ili kudhibiti suala la Utapeli wa Mali kupitia Ndoa za Kitapeli
Ustawi ndo nini? Kuna sheria bongo, kama nina mtoto lazima atapata huduma alipo lakini siwezi kulizwa na mwanamke kamwe!Acha kisha upelekwe ustawi ndio utajua hujui