Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,105
- 5,629
asante,ni mahakimu wote au kuna ngazi fulani ndio wenye mamlaka hayo!?Hawa watu uliowataja hapo juu wanaitwa "justices of the peace". Wapo pia mahakimu ambao hukuwataja. Wanapewa mamlaka hayo chini ya vifungu vya (sections) 51 na 53 ya Magistrate Courts Act. Inawezekana kuna sheria zingine ila kwa haraka haraka najua hiyo sheria
Mahakimu wote kuanzia hakimu wa mahakama ya mwanzoasante,ni mahakimu wote au kuna ngazi fulani ndio wenye mamlaka hayo!?
poa,unazijua references zozote ambazo naweza pitia nikasoma zaidi mimi mwenye,iwe ni softcopy au website?Mahakimu wote kuanzia hakimu wa mahakama ya mwanzo
Hawa watu uliowataja hapo juu wanaitwa "justices of the peace". Wapo pia mahakimu ambao hukuwataja. Wanapewa mamlaka hayo chini ya vifungu vya (sections) 51 na 53 ya Magistrate Courts Act. Inawezekana kuna sheria zingine ila kwa haraka haraka najua hiyo sheria
The MCA haiwahusu wakurugenzi wala watendaji, bali inawapa mamlaka mahakimu tu, I stand to be corrected!Hawa watu uliowataja hapo juu wanaitwa "justices of the peace". Wapo pia mahakimu ambao hukuwataja. Wanapewa mamlaka hayo chini ya vifungu vya (sections) 51 na 53 ya Magistrate Courts Act. Inawezekana kuna sheria zingine ila kwa haraka haraka najua hiyo sheria
ok,sasa na sheria inayo wa ma w.e.o/v.e.o mamlaka ya kumtia mtu ndani ni ipi?The MCA haiwahusu wakurugenzi wala watendaji, bali inawapa mamlaka mahakimu tu, I stand to be corrected!
Hili lipo wazi hatupaswi kubishana. Raad section 52 of MCA. Mahakimu wametajwa expressly under section 59 of MCA. Kuna kesi nyingi katika hili sema nipo safarini ningezitupia hapa.The MCA haiwahusu wakurugenzi wala watendaji, bali inawapa mamlaka mahakimu tu, I stand to be corrected!
ukifika,naomba utupie kesi hizoHili lipo wazi hatupaswi kubishana. Raad section 52 of MCA. Mahakimu wametajwa expressly under section 59 of MCA. Kuna kesi nyingi katika hili sema nipo safarini ningezitupia hapa.
Ungesoma comment yangu kwa makini wala usingepoteza muda wako kubishana na mimi!Hili lipo wazi hatupaswi kubishana. Raad section 52 of MCA. Mahakimu wametajwa expressly under section 59 of MCA. Kuna kesi nyingi katika hili sema nipo safarini ningezitupia hapa.
acha tusubirie majibuikiwa hawa watajwa wanauwezo kisheria wa kumuweka mtu ndani - je ni kwa muda gani kabla hawajamfikisha mahakamani ? najua kuna muda maalum ambao aliewekwa ndani au aachiwe au apelekwe mahakamani kuomba awekwe ndani kwa muda ziada mpaka uchunguzi uishe
ndio tanzania yetu hiyoTZ viongoz wanajifanya miungu watu...
kuna rais mmoja alikuwa akiitwa mh.mtukufu rais jino hadi gego linaonekana....
watawaitwa hadi watakatifu sasa