Sheria zetu zinaruhusu mfanyakazi wa umma kugombea nafasi ktk chama cha siasa?

serengo

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2013
Posts
488
Reaction score
362
Ndg wana JF kumekuwa na wimbi kubwa la wafanyakazi serikalini kukimbilia kugombea nafasi mbalimabali katika vyama huku wakitumikia majukumu yao serikalini, mfano chaguzi za vyama zinazoendelea , wafanyakazi wengi wameomba kugombea katika nafasi mbalimbali katika chama (CCM) hasa walimu, je? sheria za nchi zinaruhusu kugombea au hadi kupata kibali toka kwa mwajiri?naomba ufafanuzi wa kisheria wakuu.
 
Mtumishi akitaka kugombea nafasi ya uongozi kwenye chama cha mapinduzi (CCM) anaruhusiwa ila akitaka kugombea uongozi kwenye chama cha upinzani HAIRUHUSIWI
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…