Neema sedoyeka
New Member
- May 19, 2023
- 1
- 2
Kama tunavyofahamu, nchi haiwezi kujiendesha yenyewe bila sheria. Sheria ni msingi wa Kila kitu. Sheria huleta amani, utulivu, ujenga haki na usawa, urahisisha utendaji wa majukumu ya kiuongozi, usaidia kutatua migogoro, inalinda haki ya kila mtu, inatusaidia kujua mipaka ya kimadaraka na mengine mengi. Hivyo sheria ni kiongozi mkubwa Katika nchi yetu na taifa Zima.
Lakini zipo sheria ambazo zimewekwa, lakini hazizingatiwi. Watu wengi wamekua wakiteseka, kwakutojua haki zao. Na hii inasababishwa na sheria zingine kutofuatiliwa kwa ukaribu.
Mfano sheria za unyanyasaji wa kijinsia. Ombi langu kwa serikali, kiundwe chombo maalumu kwaajili ya ufuatiliaji wa kuhakikisha Kila sheria inafuatwa.
Lakini zipo sheria ambazo zimewekwa, lakini hazizingatiwi. Watu wengi wamekua wakiteseka, kwakutojua haki zao. Na hii inasababishwa na sheria zingine kutofuatiliwa kwa ukaribu.
Mfano sheria za unyanyasaji wa kijinsia. Ombi langu kwa serikali, kiundwe chombo maalumu kwaajili ya ufuatiliaji wa kuhakikisha Kila sheria inafuatwa.
Upvote
4