Tetesi: Shetani yupo kazini: Nyumba za ibada Imarisheni ulinzi/msirushe LIVE (YouTube) wakati wa kutoa sadaka

Tetesi: Shetani yupo kazini: Nyumba za ibada Imarisheni ulinzi/msirushe LIVE (YouTube) wakati wa kutoa sadaka

M24 Headquarters-Kigali

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
8,199
Reaction score
8,186
1. Maendeleo ya Teknolojia yamefanya ibada kurushwa LIVE mitandao ya kijamii (YouTube , Instagram) ila majambazi nayo yapo rada kutafuta fursa.

2. Tafadhali nyumba za ibada msirushe live wakati wa utoaji sadaka. Na pia ulinzi uimarishwe.

NB: Msiposikiliza huu ushauri soon mtalia. Mtu akisikiliza matangazo, sadaka wiki iliyopita makusanyo 50m TZS hajahamasika hapo?
 
1.Maendeleo ya Teknolojia yamefanya ibada kurushwa LIVE ila majambazi nayo yapo rada.

2. Tafadhali nyumba za ibada msirushe live. Na pia ulinzi uimarishwe.

NB: Msiposikiliza huu ushauri soon mtalia. Mtu akisikiliza matangazo, sadaka wiki iliyopita makusanyo 50m TZS hajahamasika hapo?
Walipeni kodi ya TRA hasa VAT, hamna cha ibaada kuna kipato hapo.
 
1. Maendeleo ya Teknolojia yamefanya ibada kurushwa LIVE mitandao ya kijamii (YouTube , Instagram) ila majambazi nayo yapo rada kutafuta fursa.

2. Tafadhali nyumba za ibada msirushe live wakati wa utoaji sadaka. Na pia ulinzi uimarishwe.

NB: Msiposikiliza huu ushauri soon mtalia. Mtu akisikiliza matangazo, sadaka wiki iliyopita makusanyo 50m TZS hajahamasika hapo?
1. Maendeleo ya Teknolojia yamefanya ibada kurushwa LIVE mitandao ya kijamii (YouTube , Instagram) ila majambazi nayo yapo rada kutafuta fursa.

2. Tafadhali nyumba za ibada msirushe live wakati wa utoaji sadaka. Na pia ulinzi uimarishwe.

NB: Msiposikiliza huu ushauri soon mtalia. Mtu akisikiliza matangazo, sadaka wiki iliyopita makusanyo 50m TZS hajahamasika hapo?


Nilitaka nicomment ila nimefuta
 
1. Maendeleo ya Teknolojia yamefanya ibada kurushwa LIVE mitandao ya kijamii (YouTube , Instagram) ila majambazi nayo yapo rada kutafuta fursa.

2. Tafadhali nyumba za ibada msirushe live wakati wa utoaji sadaka. Na pia ulinzi uimarishwe.

NB: Msiposikiliza huu ushauri soon mtalia. Mtu akisikiliza matangazo, sadaka wiki iliyopita makusanyo 50m TZS hajahamasika hapo?
Tahadhari muhimu
 
1. Maendeleo ya Teknolojia yamefanya ibada kurushwa LIVE mitandao ya kijamii (YouTube , Instagram) ila majambazi nayo yapo rada kutafuta fursa.

2. Tafadhali nyumba za ibada msirushe live wakati wa utoaji sadaka. Na pia ulinzi uimarishwe.

NB: Msiposikiliza huu ushauri soon mtalia. Mtu akisikiliza matangazo, sadaka wiki iliyopita makusanyo 50m TZS hajahamasika hapo?
Hizo 50M zote zinaenda kwa Mungu au umeamua kutushawishi biashara ina lipa niwe mchungaji soon kila jpli 1M inanitosha kwa mimi
 
Bwana asipoulinda mji yeye alindae akesha bure.
Aulindaye akesha bure?
Makanisa sasa hivi yana walinzi, nyumba za wanaoitwa watumishi wa Mungu zina walinzi tena wenye siraha.
Sasa wewe endela kuamini kwamba Mungu anaweza kukulinda.
 
1. Maendeleo ya Teknolojia yamefanya ibada kurushwa LIVE mitandao ya kijamii (YouTube , Instagram) ila majambazi nayo yapo rada kutafuta fursa.

2. Tafadhali nyumba za ibada msirushe live wakati wa utoaji sadaka. Na pia ulinzi uimarishwe.

NB: Msiposikiliza huu ushauri soon mtalia. Mtu akisikiliza matangazo, sadaka wiki iliyopita makusanyo 50m TZS hajahamasika hapo?
Kwanza binafsi sidhani kama ni muhimu kutangaza makusanyo ya sadaka. Na pia sioni sababu za msingi za kurusha ibada live. Just imagine mtu upo zako kwenye maombi umezama, halafu kuna kamera i akuchukua. Haaaah! Sipendi.
 
Kuna mtu aliiba sadaka akawa chizzi,mwingine alikufa,jaribu mambo yote ila usiibe sadaka,
 
Back
Top Bottom