Shibe au njaa inawasumbua wanaCCM?

Shibe au njaa inawasumbua wanaCCM?

Administer

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2020
Posts
1,271
Reaction score
1,604
Lazima niseme ukweli,ukosoaji wa kweli dhidi ya serikali unatoka nje ya wanachama wa CCM.

MwanaCCM ukiona anaikosoa serikali ujue njaa inamsumbua yaani kakosa mkate(maslahi) siku akipewa mkate anageuka kabisa na kuwa mtetezi wa chama na serikali.

MwanaCCM anayeitetea Serikali na chama hatakama Chama au serikali imekosea ujue ana maslahi au anatarajia kupata maslahi, atakaponyimwa maslahi naye anageuka kabisa.

Kinachoendelea sasa hivi kila mwenye kufuatlia siasa anajua kinachofanyika katika CCM na serikali. Wanachama wa CCM wameganyika kuna wanaokosoa kutokana hasira hawa wamekosa kitu na wanaotete ili kuwakomesha wakosoaji.

UKOSOAJI WA KWELI UNATOKA KWA WATU WASIOKUWA NA VYAMA NA WANACHAMA KUTOKA UPINZANI.
 
Lazima niseme ukweli,ukosoaji wa kweli dhidi ya serikali unatoka nje ya wanachama wa CCM.MwanaCCM ukiona anaikosoa serikali ujue njaa inamsumbua yaani kakosa mkate(maslahi) siku akipewa mkate anageuka kabisa na kuwa mtetezi wa chama na serikali...
Unataka kusema polepole ananjaa

USSR
 
Lazima niseme ukweli,ukosoaji wa kweli dhidi ya serikali unatoka nje ya wanachama wa CCM.MwanaCCM ukiona anaikosoa serikali ujue njaa inamsumbua yaani kakosa mkate(maslahi) siku akipewa mkate anageuka kabisa na kuwa mtetezi wa chama na serikali...
😅😅😅kweli tupu
 
Lazima niseme ukweli,ukosoaji wa kweli dhidi ya serikali unatoka nje ya wanachama wa CCM.MwanaCCM ukiona anaikosoa serikali ujue njaa inamsumbua yaani kakosa mkate(maslahi)...
Jamaa umewachana hasa.😅😅😅
 
Back
Top Bottom