Shiboub amekuja tu Kutalii Mapinduzi Cup ila Simba SC hatuna mpango wa Kumsajili..Kasema Boss Try Again

Shiboub amekuja tu Kutalii Mapinduzi Cup ila Simba SC hatuna mpango wa Kumsajili..Kasema Boss Try Again

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ningewashangaa sana Simba SC kama kweli wangemsajili Shiboub kwani ameshaishiwa Uwezo na wapo Wachezaji wa Kumzidi Kikosini kwa sasa.

"Hii Michuano ya Mapinduzi Cup ni kama tu Bonanza na kwa Uhusiano wetu mzuri na Shiboub alituomba tu Simba SC aje Kutalii na Kuwasalimia Wachezaji wenzake Kikosini ila hatuna mpango nae na hakuna popote tulisema tunataka Kumsajili" amesema Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC Salim Abdallah Mhene ( alias ) Try Again.

Chanzo: EFM Radio Kipindi cha Michezo cha Sports Headquarters muda mfupi tu uliopita.
 
Ningewashangaa sana Simba SC kama kweli wangemsajili Shiboub kwani ameshaishiwa Uwezo na wapo Wachezaji wa Kumzidi Kikosini kwa sasa.

"Hii Michuano ya Mapinduzi Cup ni kama tu Bonanza na kwa Uhusiano wetu mzuri na Shiboub alituomba tu Simba SC aje Kutalii na Kuwasalimia Wachezaji wenzake Kikosini ila hatuna mpango nae na hakuna popote tulisema tunataka Kumsajili" amesema Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC Salim Abdallah Mhene ( alias ) Try Again.

Chanzo: EFM Radio Kipindi cha Michezo cha Sports Headquarters muda mfupi tu uliopita.
Viongozi wenu walishawaona mlivyo na akili finyu,,,mtu atoke uko kote ajilipie nauli eti anakuja kujifurahisha? Iyo michezo ya kujifuraisha kule kwao haipo mpaka aje kwenye mapinduzi, Try again uwa anaongea kama vile sio kiongozi utafikiri ni wale mashabiki oya oya wasiojitambua
 
Alikuwa anakuja mapinduzi km majaribio ili asajiliwe lkn wenye maarifa mitandaoni walishaanza kuleta mjadala kuhoji inakuwaje mchezaji uliwahi kumsajili hapo awali na kiwango hakikukuridhisha ukamtema leo mchezaji huyo huyo unamwita tena,kibaya zaidi uananza nae kwa majribio ndio ili umsajili tena,sasa watu waeleweje kwamba viongozi wameishiwa maarifa,timu haina pesa au viongozi hawajiamini na wanachokifanya?

Baada ya hayo huyu bwana try whatever ameona watu wameshtuka akaja kuvunja huo mjadala kwa namna hiyo,kwahiyo naona huyu Shiboub dili yke inaweza kuyeyuka kweli kupitia hili[emoji22],afadhali angekuwa mchezaji ambaye hakuwahi kabisa kucheza hapa.

Viongozi wa Yanga na Simba ni kawaida yao kuchezea akili za mashabiki,mkizubaa wanapuyangisha mambo mkishtuka wanajifanya kuleta excuse za hapa na pale[emoji3525][emoji3525][emoji3525]
 
Kuna kolo moja likafungua na uzi kabisa eti wamemsajili shibubu kuziba pengo la namba 10 wamesahau walikua wanamsifia bwalya na kumsema vibaya fei kweli aliewaroga makoro amekufa?
 
Kumbe! kweli nyie makolo haswaaa mnaburuzwa shtukeni nyie misukule ya mudi
 
makoloboi yanatapatapa hatari[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom