Alikuwa anakuja mapinduzi km majaribio ili asajiliwe lkn wenye maarifa mitandaoni walishaanza kuleta mjadala kuhoji inakuwaje mchezaji uliwahi kumsajili hapo awali na kiwango hakikukuridhisha ukamtema leo mchezaji huyo huyo unamwita tena,kibaya zaidi uananza nae kwa majribio ndio ili umsajili tena,sasa watu waeleweje kwamba viongozi wameishiwa maarifa,timu haina pesa au viongozi hawajiamini na wanachokifanya?
Baada ya hayo huyu bwana try whatever ameona watu wameshtuka akaja kuvunja huo mjadala kwa namna hiyo,kwahiyo naona huyu Shiboub dili yke inaweza kuyeyuka kweli kupitia hili[emoji22],afadhali angekuwa mchezaji ambaye hakuwahi kabisa kucheza hapa.
Viongozi wa Yanga na Simba ni kawaida yao kuchezea akili za mashabiki,mkizubaa wanapuyangisha mambo mkishtuka wanajifanya kuleta excuse za hapa na pale[emoji3525][emoji3525][emoji3525]