Shida si goli chache, wapiga kelele c washabiki ni wazee wa wakubeti

Shida si goli chache, wapiga kelele c washabiki ni wazee wa wakubeti

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Tatizo c kwamba yanga imeshuka kiwango, tatizo ninkuwa nchi yetu imeharibika na Sasa umeingia kwenye uchumi wa Kamali , ambapo vijana wengi sana wenye ajira na wasio na ajira wameingia kwenye biashara hiyo ya kamali na kubeti.

Nchi inakusanya mapato mengi sana kupitia kubeti, hivyo inapelekea kila ofisi ya serikali, boda boda, mabenk, madukani kariakoo stori ni odds, over 1.5, mara G.G

Sasa nimegundua mashabiki uchwala iyo presha wanayotoa Kwa Yanga Haina uhalisia Bali ni Hasira za wao kukosa pesa ya kamali kupitia bettings, wanaweka pesa nyingi na kuamini yanga atashinda Ili wapate pesa ya kujikimu lakini inapotokea mkeka umechanika basi kelelel.

Nawafahamu wachambuzi wengi wa vituo vya Radio na wao ni wadau wakubwa wa kubeti, hivyo tuache lawama, we kama umeamua kubeti na ukaliwa basi Kaa kimya.
 
Maafisa ubashiri wanaitwa na wako wengi kweli kuna mmoja kamshauri Gamondi kwasasa asianze na Pacome au Aziz k bali aanze na Gift Fredy na Guede kwakua wao wachezaji wa timu pinzani hawajawazoea uchezaji wao..
 
Kamari ni tatizo.
Hii ya L na R ni tatizo pia.
AKILI ZAKO MBOVU SANA KWANI (L) NA (R) VILISHA WAHI KUMUUA MTU HADI VIWE TATIZO ..TUAMBIE VILISHA WAHI KUKUTIA HASARA GANI HATA MOJA DUNIANI ?
Watu tunazungumzi matatizo makubwa ya huyu kahaba mjalaana anaye ua watanganyika wewe unaleta upumbavu wa L na R ..ambao hauna hasara hata moja kwenye maisha ya mwanadamu wala taifa.
 
AKILI ZAKO MBOVU SANA KWANI (L) NA (R) VILISHA WAHI KUMUUA MTU HADI VIWE TATIZO ..TUAMBIE VILISHA WAHI KUKUTIA HASARA GANI HATA MOJA DUNIANI ?
Watu tunazungumzi matatizo makubwa ya huyu kahaba mjalaana anaye ua watanganyika wewe unaleta upumbavu wa L na R ..ambao hauna hasara hata moja kwenye maisha ya mwanadamu wala taifa.
L na R ni tatizo mkuu sema ni kweli haliui kama unavyosema. Kamari ishapigiwa sana kelele ila ndo hivyo watu hawaelewi.
 
Back
Top Bottom