HONEST HATIBU
Member
- Aug 19, 2020
- 63
- 153
Kunywa maji mengi.Wakuu habari za muda .
Naomba kuelewa hili .hivi gesi inaweza kuathiri uwezo wa kutembea
Mana nina gesi inanisumbua ni muda sasa nimeenda kupima h-pylory sina ..
Nimepima ultrasound bali sina shida
Ila gesi inasumbua sana hadi uwezo wa kutembea nashindwa
Nipeni maelezo na dawa tiba
So nifanye nini mana dawa nyingi nishatumiaUnapata kiungulia pia??
Zollinger ellison syndrome hio
Pole sana tumia antiacids pia badili diet yako
Inaondoka siku chache nikitumia dawa halafu inarudi tenaSo nifanye nini mana dawa nyingi nishatumia
Kumbe ni hatari hivyo? Mimi nikila sana maharage inajaa ila nikilalia tumbo na kuachia mabomu kadhaa mambo yanakaa sawa 😎gesi ni habari nyengine unaweza kudondoka na kupata stroke sababu ya huo upuuzi wa gesi,binafsi linanisumbua gesi ila now nakazia maji na mananasi
kunywa maji kwa mkupuo,drop kubwa piga mara 2 everydyKumbe ni hatari hivyo? Mimi nikila sana maharage inajaa ila nikilalia tumbo na kuachia mabomu kadhaa mambo yanakaa sawa 😎
Kuhusu maji natumia hadi nahisi kesho kwenda choonikunywa maji kwa mkupuo,drop kubwa piga mara 2 everydy
unakunywa kama nilivokwambia hapo juuKuhusu maji natumia hadi nahisi kesho kwenda chooni
Kwakumanisha drop moja unakunywa mna mmojaunakunywa kama nilivokwambia hapo juu
Pole sana mkuu ngoja wataalamu wajeWakuu habari za muda.
Naomba kuelewa hili, hivi gesi inaweza kuathiri uwezo wa kutembea.
Mana nina gesi inanisumbua ni muda sasa nimeenda kupima h-pylory sina.
Nimepima ultrasound bali sina shida.
Ila gesi inasumbua sana hadi uwezo wa kutembea nashindwa.
Nipeni maelezo na dawa tiba.
drop ya lita moja unapiga fundo 2/3 inatakiwa iishe lengo ni kuweka pressure kwenye holes/tumboKwakumanisha drop moja unakunywa mna mmoja
Tumia vitunguu swaumu utakuja kunishukuru baadaye.Wakuu habari za muda.
Naomba kuelewa hili, hivi gesi inaweza kuathiri uwezo wa kutembea.
Mana nina gesi inanisumbua ni muda sasa nimeenda kupima h-pylory sina.
Nimepima ultrasound bali sina shida.
Ila gesi inasumbua sana hadi uwezo wa kutembea nashindwa.
Nipeni maelezo na dawa tiba.
Nunua fungu la Bamia,OSHA kata kata vipande vidogo vidogo halafu weka kwenye jagi lenye maji safi ya kunywa funika jioni Hadi asubuhi au masaa kumi na mbili,fungus kunywa hayo maji kama kawaida tu ndio yawe maji Yako ya kunywa Kwa siku husika!!Wakuu habari za muda.
Naomba kuelewa hili, hivi gesi inaweza kuathiri uwezo wa kutembea.
Mana nina gesi inanisumbua ni muda sasa nimeenda kupima h-pylory sina.
Nimepima ultrasound bali sina shida.
Ila gesi inasumbua sana hadi uwezo wa kutembea nashindwa.
Nipeni maelezo na dawa tiba.
Umekalia utajiri mkuu..gesi dili duniani kote kwa sasa!Wakuu habari za muda.
Naomba kuelewa hili, hivi gesi inaweza kuathiri uwezo wa kutembea.
Mana nina gesi inanisumbua ni muda sasa nimeenda kupima h-pylory sina.
Nimepima ultrasound bali sina shida.
Ila gesi inasumbua sana hadi uwezo wa kutembea nashindwa.
Nipeni maelezo na dawa tiba.