nakumbuka siku moja iligoma kwa dada mmoja hangaika na wewe imegoma baada ya miezi minne yule mdada akaanza kuumwa ngoma yaani niliponea kwenye tundu la sindano
Jamani mimi nikifanya tendo la ndoa nyumbani ngoma inasimama barabara. Ila nikijaribu kupinga match za nje jogoo linagoma kabisa. Huwa naingia aibu kwani nikimwambia demu sina matatizo huwa inapiga kazi fresh ananiambia si upige mashine sasa maneno mengi ya nini? Imeshanitokea zaidi ya mara tatu na wanawake tofauti na wote wananitangaza mimi sisimamishi wakati mimi najua nasimamisha. Je nifanyaje? Kumuuliza ze wife nashindwa. Wana JF nipeni ushauri