Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Ukiondoa kiwango cha juu cha ushabiki wa mpira tulichonacho kuliko uhalisia wa timu tunazozishabikia, uduni wa wachezaji wetu, lakini pia Ligi Kuu ya Mpira wa Miguu Tanzania inaharibiwa kwa asilimia sitini (60%) na uchezeshaji wa marefa wa mchezo huo.
Ligi yetu inaharibiwa sana na marefa wetu, na inaonekana hakuna timu ama"watu wa mpira" wanaoona Marefa wanaochezesha ligu Kuu ni tatizo. Inawezekana Timu na hao watu wa mpira wanafaidika na uchezeshaji mbovu wa marefa hao.
Tatizo ni nini? Umri walio nao, Elimu yao kuhusu mambo ya mpira, hawana mazoezi mengi hivyo hawana weledi au ushabiki kwa timu wanazozichezesha ndiyo unawafanya wachezeshe vibaya?
Ligi yetu inaharibiwa sana na marefa wetu, na inaonekana hakuna timu ama"watu wa mpira" wanaoona Marefa wanaochezesha ligu Kuu ni tatizo. Inawezekana Timu na hao watu wa mpira wanafaidika na uchezeshaji mbovu wa marefa hao.
Tatizo ni nini? Umri walio nao, Elimu yao kuhusu mambo ya mpira, hawana mazoezi mengi hivyo hawana weledi au ushabiki kwa timu wanazozichezesha ndiyo unawafanya wachezeshe vibaya?