Shida ya mtandao inayoendelea nchini tatizo ni nini? Serikali mpo kimya kampuni za mitandao mpo kimya! Sasa nani ana majibu?

Shida ya mtandao inayoendelea nchini tatizo ni nini? Serikali mpo kimya kampuni za mitandao mpo kimya! Sasa nani ana majibu?

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Kumekuwa na shida ya mtandao karibu wiki sasa, saa nyingine ikifika usiku mtandao unakuwa chini sana na wakati mwingine hata siku nzima, unakuta mtandao unasumbua kweli na hii ni kwa mitandao yote, yaani Voda, Airtel ns mingine.

Cha kushangaza shida hii ya mtandao inabagua baadhi ya sites, kuna mitandao ukiingia ni shida kwelikweli wakati ukienda sehemu nyingine huexperience hili, mpaka najiuliza au kuna namna inafanywa hapa?!

Pia soma: Mtandao wa facebook na Instagram haupatikani

Kama umechunguza mtandao ukiwa shida utaona inavyokiwa shida kufungua baadhi ya mitandao kama vile JF, Whatsapp, Telegram na X kama sijakosea, ila ukienda FB, Youtube, google search engine na kwengine unakuwa hukutani na shida hiyo!

Kwanini inatokea hivi? Kwanini ni baadhi ya sites ndio zinapata shida? Au ndio wanatafuta njia ya kuanza kutuzimia mtandao kipindi cha uchaguzi kikifika halafu wakiulizwa watakuwa wanasema hakuna tatizo sababu mitandao mingine iko sawa?

Serikali pamoja na makampuni ya mawasiliano nchini TUNATAKA majibu juu hiki kinachoendelea sasa, kupata taarifa ni haki yetu ya kikatiba.

====

Pia soma:

~ Tupeane Updates: Hali ya mtandao ikoje mahali ulipo? Shughuli zako zinaenda kama kawaida?
~ Historia ni mwalimu mzuri, msiseme sikuwaambia!
~ Shida ya mtandao inayoendelea nchini tatizo ni nini? Serikali mpo kimya kampuni za mitandao mpo kimya! Sasa nani ana majibu?
 
Sisi wa halotel tukae kimya tu, kumbe hata waliotutangulia wanapata hii shida.
 
Nimepiga cm juzi castama kea

Kuna mdada namwambia hilo tatizo kwa maana ya anipe ABC tatizo nin?

Kinanambia eti zima simu then washa.

Nikakiambia hv wewe mdada unanichukuliaje mm mpaka kufikia kunipa majibu ya kipumbavu kama hayo?

Kilikata cm wakuu, yaani sijui walitumia kigezo gani kuweka mtu aina ile..
 
Wiki 2 hizi kweli kabisa inteneti ni shida kiasi ambacho nilikuwa naangalia salio au nanunua tena lakini likawa linajirudia.
 
Tigo kuanzia jana naona kasi yake imerudi, ila wiki mbili zilizopita ilikuwa ni kisanga mwendo wa mzee kobe
 
Wakuu,

Kumekuwa na shida ya mtandao karibu wiki sasa, saa nyingine ikifika usiku mtandao unakuwa chini sana na wakati mwingine hata siku nzima, unakuta mtandao unasumbua kweli na hii ni kwa mitandao yote, yaani Voda, Airtel ns mingine.

Cha kushangaza shida hii ya mtandao inabagua baadhi ya sites, kuna mitandao ukiingia ni shida kwelikweli wakati ukienda sehemu nyingine huexperience hili, mpaka najiuliza au kuna namna inafanywa hapa?!

Pia soma: Mtandao wa facebook na Instagram haupatikani

Kama umechunguza mtandao ukiwa shida utaona inavyokiwa shida kufungua baadhi ya mitandao kama vile JF, Whatsapp, Telegram na X kama sijakosea, ila ukienda FB, Youtube, google search engine na kwengine unakuwa hukutani na shida hiyo!

Kwanini inatokea hivi? Kwanini ni baadhi ya sites ndio zinapata shida? Au ndio wanatafuta njia ya kuanza kutuzimia mtandao kipindi cha uchaguzi kikifika halafu wakiulizwa watakuwa wanasema hakuna tatizo sababu mitandao mingine iko sawa?

Serikali pamoja na makampuni ya mawasiliano nchini TUNATAKA majibu juu hiki kinachoendelea sasa, kupata taarifa ni haki yetu ya kikatiba.
Huuu uzi ndo umenipa jibu mana nlikuwa cjui shida nn na cm yang ina GB1
 
Wakuu,

Kumekuwa na shida ya mtandao karibu wiki sasa, saa nyingine ikifika usiku mtandao unakuwa chini sana na wakati mwingine hata siku nzima, unakuta mtandao unasumbua kweli na hii ni kwa mitandao yote, yaani Voda, Airtel ns mingine.

Cha kushangaza shida hii ya mtandao inabagua baadhi ya sites, kuna mitandao ukiingia ni shida kwelikweli wakati ukienda sehemu nyingine huexperience hili, mpaka najiuliza au kuna namna inafanywa hapa?!

Pia soma: Mtandao wa facebook na Instagram haupatikani

Kama umechunguza mtandao ukiwa shida utaona inavyokiwa shida kufungua baadhi ya mitandao kama vile JF, Whatsapp, Telegram na X kama sijakosea, ila ukienda FB, Youtube, google search engine na kwengine unakuwa hukutani na shida hiyo!

Kwanini inatokea hivi? Kwanini ni baadhi ya sites ndio zinapata shida? Au ndio wanatafuta njia ya kuanza kutuzimia mtandao kipindi cha uchaguzi kikifika halafu wakiulizwa watakuwa wanasema hakuna tatizo sababu mitandao mingine iko sawa?

Serikali pamoja na makampuni ya mawasiliano nchini TUNATAKA majibu juu hiki kinachoendelea sasa, kupata taarifa ni haki yetu ya kikatiba.

====

Pia soma:

~ Tupeane Updates: Hali ya mtandao ikoje mahali ulipo? Shughuli zako zinaenda kama kawaida?
~ Historia ni mwalimu mzuri, msiseme sikuwaambia!
~ Shida ya mtandao inayoendelea nchini tatizo ni nini? Serikali mpo kimya kampuni za mitandao mpo kimya! Sasa nani ana majibu?
Huenda Kuna censorship au wanafanya maandalizi na chaguzi zijazo.

Mitandao ambayo ni Kuna watu wanaongea sensitive matters ndio naona wameibana.
 
Back
Top Bottom