Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
Simba naona shida ni number10. simba aitengenezi nafasi za kutosha , magori ni chances created.
Simba inacheza big games, inatengeneza 2-3 chances . ila small games mpira unaonekana sana.
huyu Mpanzu winger wa nini simba?? na chances ndo shida yetu.
wanasimba ebu tuongee mpira, shida ya hiki kikosi nini?
Soma Pia: Elie Mpanzu amekamilisha usajili wa kujiunga na Simba SC, mkataba wa miaka mitatu
Simba inacheza big games, inatengeneza 2-3 chances . ila small games mpira unaonekana sana.
huyu Mpanzu winger wa nini simba?? na chances ndo shida yetu.
wanasimba ebu tuongee mpira, shida ya hiki kikosi nini?
Soma Pia: Elie Mpanzu amekamilisha usajili wa kujiunga na Simba SC, mkataba wa miaka mitatu