Shida yetu viwanjani ni VAR sio waamuzi

Shida yetu viwanjani ni VAR sio waamuzi

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Hata wazungu waligundua kuwa tatizo lao sio waamuzi wazuri viwanjani bali technology ya kufidia mapungufu ya kibinadamu katika kuona na kufanya maamuzi kwa matukio yanayotokea kwa haraka sana.

Tutaendelea kuwalaumu bure waamuzi wetu. Hata wakosoaji wanatumia fursa ya kuangalia tena na tena camera za uwanjani.
 
20211121_093817.jpg

VAR ya nini hapa
 
Hata wazungu waligundua kuwa tatizo lao sio waamuzi wazuri viwanjani bali technology ya kufidia mapungufu ya kibinadamu katika kuona na kufanya maamuzi kwa matukio yanayotokea kwa haraka sana.

Tutaendelea kuwalaumu bure waamuzi wetu. Hata wakosoaji wanatumia fursa ya kuangalia tena na tena camera za uwanjani.
Mechi ya Argentina waamuzi wa VAR wamefukuzwa na faini juu kwa kubadili matokeo
 
VAR ni msaada kwa watu wanaojielewa. VAR bado ni watu na kama watu ni wapuuzi upuuzi hauwezi kukomeshwa kwa VAR.
 
Kuna baadhi ya marefa hufanya makusudi tu kwenye maamuzi ili wafurahishe nafsi,kupokea rushwa na kuwafurahisha waliowaelekeza.Kuna vitu havihitaji VAR kabisa.Ni uhuni tu.
 
VAR ni msaada kwa watu wanaojielewa. VAR bado ni watu na kama watu ni wapuuzi upuuzi hauwezi kukomeshwa kwa VAR.
Kwahiyo unataka nini, toa suluhisho kuhusu nini kifanyike. Unataka tulete marefa kutoka sayari nyingine?
 
Kwahiyo unataka nini, toa suluhisho kuhusu nini kifanyike. Unataka tulete marefa kutoka sayari nyingine?
[/QUOTE]
Ufanyike uchunguzi kwanza sababu inayopelekea maamuzi ya hovyo kutoka kwa marefa. Maamuzi mabovu yanaweza kusababishwa na rushwa, muamuzi kutokuwa makini tu (anapanic) au ni ushabiki.
 
Kwahiyo unataka nini, toa suluhisho kuhusu nini kifanyike. Unataka tulete marefa kutoka sayari nyingine?
Ufanyike uchunguzi kwanza sababu inayopelekea maamuzi ya hovyo kutoka kwa marefa. Maamuzi mabovu yanaweza kusababishwa na rushwa, muamuzi kutokuwa makini tu (anapanic) au ni ushabiki.
[/QUOTE]
Huo uchunguzi hautakaa upate majibu milele, maana hata lile goli la mkono wa Mungu la Maladona bado haijafahamika hadi Leo Kwanini refa hakuuona ule mkono haramu. Yaani hio ni sawa na wale wanaume walivyosema kitanda hakizai haramu baada ya kushindwa watoto wa haramu wasizaliwe Kwenye ndoa zao.
 
Back
Top Bottom