Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Vijana hawa waelewa na wenye akili ndio akina Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah na ChoiceVariable?

====
Kupata taarifa za kimkoa kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amefunguka na kueleza kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndiyo Chama cha kuleta maendeleo Tanzania na siyo vyama vingine.
Shigongo ameyasema hayo alipokuwa Nyehunge Novemba 23 2024 na Vijana wa Hamasa wa CCM.
Vijana hawa waelewa na wenye akili ndio akina Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah na ChoiceVariable?

====
Kupata taarifa za kimkoa kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amefunguka na kueleza kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndiyo Chama cha kuleta maendeleo Tanzania na siyo vyama vingine.
Shigongo ameyasema hayo alipokuwa Nyehunge Novemba 23 2024 na Vijana wa Hamasa wa CCM.