Shihata

Status
Not open for further replies.

Kibunango

Platinum Member
Joined
Aug 29, 2006
Posts
8,468
Reaction score
2,349
Wanabodi, ninamtafuta Nd. Ngwabi Ngawagilala mara ya mwisho kuonana nae alikuwa ni mkurugenzi wa SHIHATA katika miaka ya mwishoni ya 80. Mwenye kujua naweza kumpata wapi na yupo wapi kwa sasa naomba anitaarifu tafadhali...Ahsanteni.
 
Nakumbuka 2005 alikuwa St. Augustine University of Tanzania (SAUT), hivyo waweza ingia kwa web ya SAUT ili upate namba zao upige na kumuulizia, ama pia uandike email.
 
nkwabi ng'wanakilala yuko SAUT AS LECTURER,just pop in itheir web and you get him strait away!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…