Shiilingi ya Tanzania yachungulia kaburi


Mkuu nakubaliana na wewe ila ungeweka convincing statistics ningeshukuru sana. Hebu jaribu ku- dig deep down kama msomi mkuu kwani tunahitaji sana wa TZ wa namna hiyo ili kuonyesha kwamba sasa to get away with cheap political economy theories.
 
Mpadmire ulishatafuta shamba (ekari nyingi) ukazikosa? hebu jaribu kutafuta mapori uone kama utayakosa!! sometimes tuache kulalamika tutafute hayo mashamba kama unayahitaji.. sometimes tuache kutupa lawama kwa serikali kwa kila kitu.,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…