Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
Sijaogopa BAN Boss,nashangaa hapa jamaa kujiunga jf miaka 4 kabla hajazaliwa na miaka 36 kabla ya jf kuanzshwa!
Cc Judgement Washawasha farkhina
Kipingu ndo nan Washawasha?
Si yule jamaa wa pale Makongo!Kipingu ndo nan Washawasha?
Admin wa Jf ajulikanaye kama Spiderman ni noma!
1: Alizaliwa mwaka 1974
2: Jf ilianzishwa 2006
3: Alijiunga Jf mwaka 1970 {kabla ya yeye kuzaliwa!!!! }
Shikamoo admin!
cc figganigga Heaven on earth Arushaone Mwanyasi mwallu Lady doctor.
Naomba uniangalizie miss chagga kajiunga lini na alizaliwa lini. Usisahau kunitajia anapenda nini.Admin wa Jf ajulikanaye kama Spiderman ni noma!
1: Alizaliwa mwaka 1974
2: Jf ilianzishwa 2006
3: Alijiunga Jf mwaka 1970 {kabla ya yeye kuzaliwa!!!! }
Shikamoo admin!
cc figganigga Heaven on earth Arushaone Mwanyasi mwallu Lady doctor.
napenda pesaNaomba uniangalizie miss chagga kajiunga lini na alizaliwa lini. Usisahau kunitajia anapenda nini.