Shikamoo Kaka Pascal Mayalla, kweli unamjua vizuri Membe

Shikamoo Kaka Pascal Mayalla, kweli unamjua vizuri Membe

Benmpo

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2015
Posts
450
Reaction score
423
Hadaa na dharau ya Membe kwa Watanzania ni kubwa sana na imekithiri. Mara zote amekuwa akijiona kuwa yeye ndiye mwenye akili nyingi kuzidi Watanzania wote. Kutokana na tabia hiyo, amekuwa akitoa kauli ambazo wenye akili kumzidi yeye wanajua kwamba anaudanganya umma mchana kweupe.

Kwa sasa Membe anatudanganya kuwa anapigania uwepo wa Tume huru ya Uchaguzi katika Uchaguzi Mkuu unaokuja baadaye mwaka huu. Wengi tunajiuliza; Ni tume ya aina gani anayoitaka Membe ikiwa hii iliyopo ipo tangu yeye akiwa ndani ya mfumo na haikuonekana tatizo kabisa kwake kipindi hicho? Je, ni nini kinamsukuma huyu mtu kuna mkakati huo? Hivi anadhani Watanzania ni wajinga sana kiasi cha kushindwa kuling’amua hili?

Kaka Pascal Mayalla, katika uzi wako wa November 08, 2014 wenye title; “Membe amejuaje Contents za ‘Dimplomatic Bag’? Uwezo kukanusha kaupata wapi?- Tusidanganyane!”, ambao ulifafanua handling ya 'Diplomatic Bags’ ulisema;

Membe ni just a fool fulani aliyebahatika kuukwaa u MFA, akiongea, ukimsikiliza na kumtazama usoni, hiyo foolishness yake inaonekana wazi”.

Na katika uzi ule uliojaa uchambuzi na ufafanuzi makini kuhusu mada hiyo ulimalizia kwa kusema:

Na tukianza kudanyanyana hivi sasa, na wadanganyifu hawa, sio tuu wanatudanganya sisi, bali wanalidanya Bunge letu tukufu!, ikiwa hivi ni MFA, danganya zenyewe ni hizi, hiyo 2015, atakapokuwa ndiye yeye hali itakuwaje?! Tusidanganyane kabisa!. kuna watu hawatufai kabisaa!, hata wawe na sura nzuri vipi, na nywele zao nyeusi vipi kwa kupaka kanta ili waonekane vijana ila ndani ni mvi tupu!, huku wakiongea uwongo kwa mapozi mengi mchana kweupe! Kama hawafai, ni hawafai tuu!”.

Nimewiwa nikupongeze Kaka Mayalla kwa maono yako. Membe uliyemuona kwa wakati huo, ndiye tunayemuona hadi sasa, in short hajabadilika. Inaonekana tabia ya uongo kwake ni “Innate” na hajali as long as anakipata anachohitaji. Kama ulivyoona kuwa hakuwa mtu sahihi kuwa Rais mwaka 2015, basi naona bado hatufai kwa nafasi hiyo mwaka 2020. Kweli nimeamini maneno yako, “Kama hawafai, ni hawafai tuu!”.
 
Angalia sura zao hawajapenda Mamluki Kuvamia chama chao anatoka Mtu upinzani anaingia CCM anakuwa balozi, naibu Waziri, mkuu wa wilaya na DAS wao vijana wa CCM wapo wanasugua mabenchi kwenye vijiwe vya kahawa hata bendera za chama hawataki kupandisha wanawaachia Wafungwa.
 
Huu ugali mboga ni pilipili mtatoka kamasi...
 
Hadaa na dharau ya Membe kwa Watanzania ni kubwa sana na imekithiri. Mara zote amekuwa akijiona kuwa yeye ndiye mwenye akili nyingi kuzidi Watanzania wote. Kutokana na tabia hiyo, amekuwa akitoa kauli ambazo wenye akili kumzidi yeye wanajua kwamba anaudanganya umma mchana kweupe.

Kwa sasa Membe anatudanganya kuwa anapigania uwepo wa Tume huru ya Uchaguzi katika Uchaguzi Mkuu unaokuja baadaye mwaka huu. Wengi tunajiuliza; Ni tume ya aina gani anayoitaka Membe ikiwa hii iliyopo ipo tangu yeye akiwa ndani ya mfumo na haikuonekana tatizo kabisa kwake kipindi hicho? Je, ni nini kinamsukuma huyu mtu kuna mkakati huo? Hivi anadhani Watanzania ni wajinga sana kiasi cha kushindwa kuling’amua hili?

Kaka Pascal Mayalla, katika uzi wako wa November 08, 2014 wenye title; “Membe amejuaje Contents za ‘Dimplomatic Bag’? Uwezo kukanusha kaupata wapi?- Tusidanganyane!”, ambao ulifafanua handling ya Diplomatic Bags’ ulisema;

Membe ni just a fool fulani aliyebahatika kuukwaa u MFA, akiongea, ukimsikiliza na kumtazama usoni, hiyo foolishness yake inaonekana wazi”.

Na katika uzi ule uliojaa uchambuzi na ufafanuzi makini kuhusu mada hiyo ulimalizia kwa kusema:

Na tukianza kudanyanyana hivi sasa, na wadanganyifu hawa, sio tuu wanatudanganya sisi, bali wanalidanya Bunge letu tukufu!, ikiwa hivi ni MFA, danganya zenyewe ni hizi, hiyo 2015, atakapokuwa ndiye yeye hali itakuwaje?! Tusidanganyane kabisa!. kuna watu hawatufai kabisaa!, hata wawe na sura nzuri vipi, na nywele zao nyeusi vipi kwa kupaka kanta ili waonekane vijana ila ndani ni mvi tupu!, huku wakiongea uwongo kwa mapozi mengi mchana kweupe! Kama hawafai, ni hawafai tuu!”.

Nimewiwa nikupongeze Kaka Mayalla kwa maono yako. Membe uliyemuona kwa wakati huo, ndiye tunayemuona hadi sasa, in short hajabadilika. Inaonekana tabia ya uongo kwake ni “Innate” na hajali as long as anakipata anachohitaji. Kama ulivyoona kuwa hakuwa mtu sahihi kuwa Rais mwaka 2015, basi naona bado hatufai kwa nafasi hiyo mwaka 2020. Kweli nimeamini maneno yako, “Kama hawafai, ni hawafai tuu!”.
Wewe ni kampeni Manager

Acheni siasa za majitaka zilizokwisha na wakati

Acheni siasa za kujadili watu au mtu huo ni ushamba na upumbuvavu

Jaribu kujadili mawazo ya mtu na maono

Kila mtu ana mapungufu yake mengi sana

Hili Taifa haliwezi kujengwa na watu kama wewe mnaojadili personalities

Baada ya kumjadili Membe mwisho mtaanza kujadili anakula saa ngapi na analala wapi

Mkuu huna tofauti na wale waliokuwa wanamuulizia Rais kwanini yupo kwao chato wakati wa corona ,Umeona wamefeli vibaya sana hoja yao sasa ni kituko

Badala ya kujadili Taasisi ya Urais wakati wa corona wao wakawa wanamjadili JPM kama mtu aje kupambana na corona

Pendelea kujadili mawazo ya mtu na sio kumjadili mapungufu yake

Hata hao wanaojadili mapungufu ya JPM ni washamba na wazandiki,Yapasa kujadili mawazo yake na maono yake na sio personalities
 
Hadaa na dharau ya Membe kwa Watanzania ni kubwa sana na imekithiri. Mara zote amekuwa akijiona kuwa yeye ndiye mwenye akili nyingi kuzidi Watanzania wote. Kutokana na tabia hiyo, amekuwa akitoa kauli ambazo wenye akili kumzidi yeye wanajua kwamba anaudanganya umma mchana kweupe.

Kwa sasa Membe anatudanganya kuwa anapigania uwepo wa Tume huru ya Uchaguzi katika Uchaguzi Mkuu unaokuja baadaye mwaka huu. Wengi tunajiuliza; Ni tume ya aina gani anayoitaka Membe ikiwa hii iliyopo ipo tangu yeye akiwa ndani ya mfumo na haikuonekana tatizo kabisa kwake kipindi hicho? Je, ni nini kinamsukuma huyu mtu kuna mkakati huo? Hivi anadhani Watanzania ni wajinga sana kiasi cha kushindwa kuling’amua hili?

Kaka Pascal Mayalla, katika uzi wako wa November 08, 2014 wenye title; “Membe amejuaje Contents za ‘Dimplomatic Bag’? Uwezo kukanusha kaupata wapi?- Tusidanganyane!”, ambao ulifafanua handling ya 'Diplomatic Bags’ ulisema;

Membe ni just a fool fulani aliyebahatika kuukwaa u MFA, akiongea, ukimsikiliza na kumtazama usoni, hiyo foolishness yake inaonekana wazi”.

Na katika uzi ule uliojaa uchambuzi na ufafanuzi makini kuhusu mada hiyo ulimalizia kwa kusema:

Na tukianza kudanyanyana hivi sasa, na wadanganyifu hawa, sio tuu wanatudanganya sisi, bali wanalidanya Bunge letu tukufu!, ikiwa hivi ni MFA, danganya zenyewe ni hizi, hiyo 2015, atakapokuwa ndiye yeye hali itakuwaje?! Tusidanganyane kabisa!. kuna watu hawatufai kabisaa!, hata wawe na sura nzuri vipi, na nywele zao nyeusi vipi kwa kupaka kanta ili waonekane vijana ila ndani ni mvi tupu!, huku wakiongea uwongo kwa mapozi mengi mchana kweupe! Kama hawafai, ni hawafai tuu!”.

Nimewiwa nikupongeze Kaka Mayalla kwa maono yako. Membe uliyemuona kwa wakati huo, ndiye tunayemuona hadi sasa, in short hajabadilika. Inaonekana tabia ya uongo kwake ni “Innate” na hajali as long as anakipata anachohitaji. Kama ulivyoona kuwa hakuwa mtu sahihi kuwa Rais mwaka 2015, basi naona bado hatufai kwa nafasi hiyo mwaka 2020. Kweli nimeamini maneno yako, “Kama hawafai, ni hawafai tuu!”.
Tuliza WENGE kwasasa tunaenda na MEMBE kazi na bata.
 
Inaweza kuwa kweli Membe ni muongo, ebu nioneshe mwanasiasa ambaye siyo muongo na mimi nitakuonesha figo ya Osama.
 
Hadaa na dharau ya Membe kwa Watanzania ni kubwa sana na imekithiri. Mara zote amekuwa akijiona kuwa yeye ndiye mwenye akili nyingi kuzidi Watanzania wote. Kutokana na tabia hiyo, amekuwa akitoa kauli ambazo wenye akili kumzidi yeye wanajua kwamba anaudanganya umma mchana kweupe.

Kwa sasa Membe anatudanganya kuwa anapigania uwepo wa Tume huru ya Uchaguzi katika Uchaguzi Mkuu unaokuja baadaye mwaka huu. Wengi tunajiuliza; Ni tume ya aina gani anayoitaka Membe ikiwa hii iliyopo ipo tangu yeye akiwa ndani ya mfumo na haikuonekana tatizo kabisa kwake kipindi hicho? Je, ni nini kinamsukuma huyu mtu kuna mkakati huo? Hivi anadhani Watanzania ni wajinga sana kiasi cha kushindwa kuling’amua hili?

Kaka Pascal Mayalla, katika uzi wako wa November 08, 2014 wenye title; “Membe amejuaje Contents za ‘Dimplomatic Bag’? Uwezo kukanusha kaupata wapi?- Tusidanganyane!”, ambao ulifafanua handling ya 'Diplomatic Bags’ ulisema;

Membe ni just a fool fulani aliyebahatika kuukwaa u MFA, akiongea, ukimsikiliza na kumtazama usoni, hiyo foolishness yake inaonekana wazi”.

Na katika uzi ule uliojaa uchambuzi na ufafanuzi makini kuhusu mada hiyo ulimalizia kwa kusema:

Na tukianza kudanyanyana hivi sasa, na wadanganyifu hawa, sio tuu wanatudanganya sisi, bali wanalidanya Bunge letu tukufu!, ikiwa hivi ni MFA, danganya zenyewe ni hizi, hiyo 2015, atakapokuwa ndiye yeye hali itakuwaje?! Tusidanganyane kabisa!. kuna watu hawatufai kabisaa!, hata wawe na sura nzuri vipi, na nywele zao nyeusi vipi kwa kupaka kanta ili waonekane vijana ila ndani ni mvi tupu!, huku wakiongea uwongo kwa mapozi mengi mchana kweupe! Kama hawafai, ni hawafai tuu!”.

Nimewiwa nikupongeze Kaka Mayalla kwa maono yako. Membe uliyemuona kwa wakati huo, ndiye tunayemuona hadi sasa, in short hajabadilika. Inaonekana tabia ya uongo kwake ni “Innate” na hajali as long as anakipata anachohitaji. Kama ulivyoona kuwa hakuwa mtu sahihi kuwa Rais mwaka 2015, basi naona bado hatufai kwa nafasi hiyo mwaka 2020. Kweli nimeamini maneno yako, “Kama hawafai, ni hawafai tuu!”.
Hadaa na dharau ya Membe haijaifikia ya Magufuli aliyesema atawapiga mpaka shangazi wa wapinzani, halafu atamkata mtia nia yeyote wa CCM kwa jinsi atakavyojisikia atakavyoamka siku hiyo.

Hapo katukana nchi nzima, kuanzia upinzani mpaka CCM mpaka tusiokiwa na chama.
 
Haijalishi huko nyuma alisema nini-la msingi ni kuwa amekubali yale yaliyokuwa yanasemwa kuwa TUME HURU inahitajika. Wakiwa CCM wanajitoa akili wakibadili kambi ukweli wanauona. Hivyo kwa hili nitakwenda na Membe na siyo JPM Mkandamizaji.
 
Hukuwa na haja kuandika uzi, unge like tu kule kule kwenye uzi ukatambaa, sasa QUOTE nayo unaianzishia uzi?!
Kila anaye reply akiandika uzi JF itajaza saver kabla ya jua kuzama.

Ungetuletea uzi wa kwanini Magufuli azuie wenzake kugombea kwa kuwachafua, yeye alikuwa ni mtia nia kati ya watia nia 42 mwaka 2015.

Leo anawatisha wenzake wanaotaka kutia nia, na kuwaambia wenzake wanatamaa, kwanini yeye anagombea kama HANA TAMAA, kesha tumikia miaka mitano akiwa mwenyeketi wa ccm taifa,pia rais wa JMT kwanini asiwapishe wengine baada ya kumaliza muda huo,kwanini analazimisha kutawala badala ya kuongoza?!

Nchi hii ni yetu sote, siyo mali yake binafsi.
 
Membe anawakosesha usingizi
Tulieni tu dawa iwaingie
2020 Tunakwenda na Membe

Sidhani kama kuna mtu anakoseshwa Usingizi na Membe. Kujadiliwa haina maana anamsumbua mtu yeyote. Suala ni kumrekebisha tabia. October siyo mbali, kuna watu mtajinyonga
 
Angalia sura zao hawajapenda Mamluki Kuvamia chama chao anatoka Mtu upinzani anaingia CCM anakuwa balozi, naibu Waziri, mkuu wa wilaya na DAS wao vijana wa CCM wapo wanasugua mabenchi kwenye vijiwe vya kahawa hata bendera za chama hawataki kupandisha wanawaachia Wafungwa.
😆😆😆😆
 
Hukuwa na haja kuandika uzi, unge like tu kule kule kwenye uzi ukatambaa, sasa QUOTE nayo unaianzishia uzi?!
Kila anaye reply akiandika uzi JF itajaza saver kabla ya jua kuzama.

Ungetuletea uzi wa kwanini Magufuli azuie wenzake kugombea kwa kuwachafua, yeye alikuwa ni mtia nia kati ya watia nia 42 mwaka 2015.

Leo anawatisha wenzake wanaotaka kutia nia, na kuwaambia wenzake wanatamaa, kwanini yeye anagombea kama HANA TAMAA, kesha tumikia miaka mitano akiwa mwenyeketi wa ccm taifa,pia rais wa JMT kwanini asiwapishe wengine baada ya kumaliza muda huo,kwanini analazimisha kutawala badala ya kuongoza?!

Nchi hii ni yetu sote, siyo mali yake binafsi.

Kwanini Mods hawajaunganisha kama zinafanana? Mshamba tu ndo hajui kuwa kuna kitu kinaitwa Citation
 
Sidhani kama kuna mtu anakoseshwa Usingizi na Membe. Kujadiliwa haina maana anamsumbua mtu yeyote. Suala ni kumrekebisha tabia. October siyo mbali, kuna watu mtajinyonga

Bado mnamjadili huyu mtu aliyejifia?
 
Back
Top Bottom