Shikamoo Kamikaze

Naona wanaume povu linawatoka....[emoji126][emoji126][emoji126]sema huyo dogo hajamfkia wa kwangu...[emoji41]
Wanaona gere li mkaka la ukweeee,mbona wao kila kukicha wanasifia wanawake humu
 
Unapamba ukaliwe naye, utachoka ukiambiwa wenzio wameisha mtafuna..![emoji41] [emoji41]
Tatizo wanasema kuwa ile sio sabuni hata iishe ama ipungue ikitumika....

Hata wanawake pia hutamani jombaa... Muache binti afunguke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…