Atakuwa anawapenda sna wa kuuzia suraWewe kilichokuvutia nini hasa kwenye hiyo reception ya mbele
Siku ukiambiwa anapuliwa mabegani utashika mdomo!Kwani huaga ina makombo?[emoji23]
Tatizo wanasema kuwa ile sio sabuni hata iishe ama ipungue ikitumika....Unapamba ukaliwe naye, utachoka ukiambiwa wenzio wameisha mtafuna..![emoji41] [emoji41]
Hahahaaaa umenichekesha mkuu.Unapamba ukaliwe naye, utachoka ukiambiwa wenzio wameisha mtafuna..![emoji41] [emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23] shida moyoNamba tu hiyo sio shida
Na ana dinda vzr tuHivi kumbe huyu nae ni dume,duuuu!!
Kwan ss wasanii cyo binadam?Mademu wa kushobokea wasanii nawadharau sana.