IZENGOHADITHI
Member
- May 5, 2017
- 21
- 39
Wewe Raisi wako ameonyesha mguso gani juu ya tukio hilo la kusikitisha?Hata msibani nackia haendi!Tusi kivipi mkuu?
Kuna tusi gani kwa kitendo hicho?Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta ametumia muda wake akiwa kwenye mkutano wake wa kisiasa kutoa salamu za pole kwa Watanzania kutokana ajali iliyoua 32 wakiwemo wanafunzi 29 wa darasa la 7.
Kenyata alisima pamoa na Mkutano wake kwa muda na kuomba mkutano huo usimame kwa heshima ya watoto wengi wengi karibu 32 waliofariki Tanzania
Acha maneno ya kusikia sio mazur jaman...unachofanya ww ni kama uchochez....mbona huyo jamaa unayemtuhumu ameshatoa pole zake kuanzia Jana...uache umbeaWewe Raisi wako ameonyesha mguso gani juu ya tukio hilo la kusikitisha?Hata msibani nackia haendi!
Ulitaka hadi atukane,kama alisimamisha kwa muda kampeni zake kwa nini sisi hata bendera zipepee nusu mlingoti kwa siku moja au nusu siku?Kuna tusi gani kwa kitendo hicho?
Kamwandikia barua DcWewe Raisi wako ameonyesha mguso gani juu ya tukio hilo la kusikitisha?Hata msibani nackia haendi!
Labda kamtukana Babako sio Rais wetuWewe Raisi wako ameonyesha mguso gani juu ya tukio hilo la kusikitisha?Hata msibani nackia haendi!
makamu wa Rais, Waziri wa elimu na viongozi wengi wa serikali watahudhuria. ni vema kipindi hiki cha majonzi tuwe wakweli na tusipandikize chukiUlitaka hadi atukane,kama alisimamisha kwa muda kampeni zake kwa nini sisi hata bendera zipepee nusu mlingoti kwa siku moja au nusu siku?
Nusu mlingoti kwa watu 30+ .Ulitaka hadi atukane,kama alisimamisha kwa muda kampeni zake kwa nini sisi hata bendera zipepee nusu mlingoti kwa siku moja au nusu siku?
Ametoa wapi?Acha maneno ya kusikia sio mazur jaman...unachofanya ww ni kama uchochez....mbona huyo jamaa unayemtuhumu ameshatoa pole zake kuanzia Jana...uache umbea
Ulitaka hadi atukane,kama alisimamisha kwa muda kampeni zake kwa nini sisi hata bendera zipepee nusu mlingoti kwa siku moja au nusu siku?
Za kwenye makaratasiAcha maneno ya kusikia sio mazur jaman...unachofanya ww ni kama uchochez....mbona huyo jamaa unayemtuhumu ameshatoa pole zake kuanzia Jana...uache umbea
Unaona sio kitu kwa kuwa halijakutokeaNusu mlingoti kwa watu 30+ .