Shikamoo Kenyata

Point ya msingi tuwaombee dua tu hawa watoto na ndg zetu wengineu m/ mungu awaepushe na adhabu za kaburi ,,,tusiendekeze siasa saaaaaaaana cc n wamoja
 
Hata TV na radio station za hapa kwetu walikuwa wanaendelea na mambo yao kama kawaida as if hakijatokea kitu hapa nchini.
No ,siyo kweli nasikiliza Eastafrica radio wanatangaza huu msiba kwa uzito wa juu sana toka jana, wewe unasikiliza radio gani? Tujifunze na tujitahidi kujijengea tabia ya ukweli tutaisaidia nchi na hatutwakatisha tamaa wale ambao wana moyo wa uzalendo
 
Hata TV na radio station za hapa kwetu walikuwa wanaendelea na mambo yao kama kawaida as if hakijatokea kitu hapa nchini.
Jf ndo imewashitua.naona hadi clouds fm wamebadili vipindi.aibuu
 
R. I. P watoto wote ambao maisha yao yamekatishwa kinyume na matarajio yetu, Bwana alitoa, Bwana ametwaa, Bwana ahimidiwe.
 
Magu alikuwa busy kuforce kodi ikusanywe 24*7
 
Kenyata ni mwalimu wa magu xema magu ni mwanafunzi korofi hataki kuelewa, tanzania hatuwezi kujifananisha na kenya hata kidogo, kenya wako level ingine kabisa kwa mambo mengi ikiwa tz bajeti yetu 60% inategemea wahisani wakati kenya haitegemei hata mia ya wafadhili utajifananishaje na huyu mtu??

Kenyata anaongea kwa kujigamba kwamba kenya ndio nchi pekee afrika mashariki ambayo haitumii mikopo
 
Mkuu nilichoandika sijajitungia. Nimejitahidi sana kusikiliza na kutazama TV stations zetu tangu asubuhi na hawakuwa na hicho. Unless wawe wameanza jioni hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…