Shikamoo Man United mnatisha

bartenderznz

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2016
Posts
398
Reaction score
195
Nimeikumbuka ile man u ya Roy Kean,Nick Butty,David Becam na Jap Stam,kuna usuluhu pale kati na watu wanapambana kweli kweli.Pogba anamiguu kama kijiko yaani ni noma!
Ibrahimovic anapiga vichwa kama yule beberu wangu wa kijijini enzi zile.HAHA!HAHA! usingizi umerudi tena.
Uahauri wa bure Wenger tumepia pesa unawatesa waahabiki wako huku kitaa wameanza kuhama maskani.
 
Ha ha ha.. Mkuu lile pogba na hatari.. Lina uwezo,speed, nguvu, pass accurate.... Ibrahimovic ndo atasumbua sana mabeki kutokana na uzoefu wake,nguvu na urefu..
Ukirud kw Eric baily. Ile beki ni ya kufa mmasai lazima msimu huu itavunja mtu mguu.. Mwambie wenger aache ugumu
 
tulivyomnunua ibra walisema tumenunua galasa, sasa hivi wamefyata
 
bado mapema sana kutabiri.. ila huu msimu wa Man U
 
huu msimu wa man u anaebisha kaamua tu kubisha ili mda usogee
 
Ibrahimovic atawaumbua wale wanaotudanganyaga kuwa kiwango cha mchezaji kinategemea na ligi anayocheza.

Anayejua anajua tu, popote utakapompeleka atafanya yake as long as anajua.
 
Mshaanza kuchonga vichwa maji nyie😱😱
 

Bundi yupo kwa Mzee Wengewenge
 
sindo hy madawa wanasemaga weka mbali na watoto ikiwemo hyoo
 
Wacha tuoni km wataendelea na speed hii or ndo nguvu ya soda
 
Safari bado sana, ndo kwanza mabasi yanatoka ubungo kuelekea KIGOMA!
 
Ibrahimovic atawaumbua wale wanaotudanganyaga kuwa kiwango cha mchezaji kinategemea na ligi anayocheza.

Anayejua anajua tu, popote utakapompeleka atafanya yake as long as anajua.
goli 2 za kchwa toka kwenye move isiyo na kichwa wala miguu..tayari makelele,ligi inaisha mwakan mwez wa 5!
 
mi najua wapinzani mmecomment huku mmevaa pampas sio rahisi kuhimili mziki wa Man U a.k.a Man Ndingo [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…