[emoji23][emoji23]Duu swali wataalam wa lugha wamechemka
Unawaamkia tena[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Mama alinifundisha nikishamsalimia asubuhi shikamoo,mchana Ni za mchana au za saa hizi Na jion ni za jion au za saa hizi!But Kama asubuh sikuonana naye nikikutana naye mchana au jion shkamoo Ni lazima