Lugha ya Kiswahili imechukua (sio kukopa) maneno mengi toka Lugha ya Kiarabu na kufanya sehemu ya utamaduni wake. Shikamoo ni moja ya maneno yenye asili ya Kiarabu. Bila kujali sana maana yake, ni sehemu ya utamaduni wa Lugah ya Kiswahili. Hakuna neno lolote jingine la Kiswahili lenye hadhi na maana sawa na 'Shikamoo'