Jf tuko na nyie mama zetu, shangazi zetu Bibi zetu, ila ni familia moja dizaini km vile tuko na washikaji zetu.
Nawaheshimu wote kwa wale mashemeji zangu na mama zangu wadogo wakiongozwa na mahondaw borea muendelee tu kuwepo nasisi mnaona bhana.
Kwa wale wadada wadogowadogo under 25 mliopo humu ila usiwe na mtoto jamani natafuta mchumba nahisi nazeeka kwa kasi nakaribisha PM.
Pesa ninayo, upendo ninao, imani ninayo, nguvu ninayo, ndoto ninazo, kazi ninazo, vision ninayo, ugreat thinker ninao. Bado tu mtagoma kuja acheni kuzingua corona Sina, uhalifu Sina, ushamba Sina, UJINGA sina, umaskini Sina, gari Sina,