Ibrahim Mussa
Member
- Jan 4, 2013
- 6
- 1
Shikamoni mliomo humu ndani kaka & dada zangu. Kwa kweli nimefarijika mdogo wenu kwa KUIJUWA mtandao huu ambao watu wanajadiliana mambo mbalimbali kama elimu, afya,vichekesho, siasa n.k
Jina langu naitwa Ibrahim Mussa kama nilivyopewa na wazazi wangu, nina umri wa miaka 16. Ni mwanafunzi wa darasa la saba na mwaka huu nategemea kuingia form One. Ninapenda kuingia kwenye Internet na kuangalia vitu mbalimbali ndo siku 1 nilipokuwa nasearch www.google.com nikabahatika kukutana na mtandao huu wa Jamiiforums.
Kwa hapa kijijini nilipo najihisi kama ni mwenye bahati kuujuwa mtandao kama huu mana kuna vijana wengine wao akiingia kwenye internet ni kudownload chonda kwenda mbele hata kuingia mitandao ya kusoma habari muda huo hawana.
Kwa kweli ninafuraha sana kwa hili.
NAOMBA MUNIKARIBISHE WAKUBWA ZANGU AHSANTENI.
Jina langu naitwa Ibrahim Mussa kama nilivyopewa na wazazi wangu, nina umri wa miaka 16. Ni mwanafunzi wa darasa la saba na mwaka huu nategemea kuingia form One. Ninapenda kuingia kwenye Internet na kuangalia vitu mbalimbali ndo siku 1 nilipokuwa nasearch www.google.com nikabahatika kukutana na mtandao huu wa Jamiiforums.
Kwa hapa kijijini nilipo najihisi kama ni mwenye bahati kuujuwa mtandao kama huu mana kuna vijana wengine wao akiingia kwenye internet ni kudownload chonda kwenda mbele hata kuingia mitandao ya kusoma habari muda huo hawana.
Kwa kweli ninafuraha sana kwa hili.
NAOMBA MUNIKARIBISHE WAKUBWA ZANGU AHSANTENI.