Shikilia Mbavu Zako Vizuri..

lol huyo simba hapo cjui utatokaje mmmh
 
Duh huyo simba itabidi uongee nae herufi kubwa!
 
Duh! Mungu hamtupi mja wake, wamewindwa sasa zamu ya kuwinda!!
 
Muindwa nae Huwindwa bajameni!
Ila kasimba katoto haka mbona hakajai kwenye screen
 
Hapo lazima usali sala zote unazozijua na kumuachia mungu yatakayotokea

Ukifikiria kwamba bunduki yenyewe ipo mbali karibu na simba alipo mpaka uikaribie ushageuzwa asusaπŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…