Shilawadu hapa mlipofikia ni too much

hao wenye hotel na hao sijui ndo shilawadu wote ni wasenge mia mbili.jambo walilolifanya aswa ni kumuaibisha jamaa we mtu utawezaje kuchezea boxer za mwanaume mwenzio.

lazima tulipe kodi
 
Hicho kipindi ni special kwa WCB, WALPER na WEMA nothing new...

Hans Pol
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Wapo kazini bhana waachen

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Shilwadu haijawahi acha mtu salama kondomu ohh samahan nisaidieni kulifuta hilo neno linlofuata baada ya salama limejipost

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Umenikumbusha Joti alipata kipondo cha uhakika baada ya kumuekti naniliu kuwa ' amefulia'
 
Umenikumbusha Joti alipata kipondo cha uhakika baada ya kumuekti naniliu kuwa ' amefulia'
Hakika hawa wamumunya ubuyu mijinaume mizima inahitaji kutafuta mbinu nyingine na ya kistaarabu kuendesha kipindi chao hicho vinginevyo lazima tu wataangukia pua

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Sasa linex siungekaa tu ngoleme guest house kwann kujitia gharama ona sasa unafedheeshwa
 
Shilawadu wanatusuuza akili baada ya pilikapilika za wiki nzma hakuna aliyelazmishwa kuwaangalia, mm bnafsi nkikosa shilawadu nahs kuugua,.
Mltaka wafanye kaz gan, c ndio ubunifu wao huooo? Waachen wafanye kaz yao au mlitaka wawe vbaka au mashoga?

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
 
Sawa lakini huyo jamaa naye ajitazame.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…