Shilawadu hapa mlipofikia ni too much

Nilifikiri ni Mimi tu niliyeshituka baada ya kuona tukio lile,
Kiukweli walivuka mpaka wa umbea ukawa uzalilishaji...!!
Mmiliki wa hotel kama hakutoa ridhaa ya kuwaita shilawadu basi ahesabu hana wadanyakazi hapo....!!
 
DAWA YA DENI KULIPA

Sent from my Exclusive Y30-U00 using JamiiForums mobile app
 
Apambane na hali yake,aache kutaka mambo makubwa wakat hayawez, kwn angeish km sisi angekufa? Aljua kabsa hana pesa alienda hotel ya bei kubwa hvyo alitegemea nn?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu linex kesi za madai nyingi kuliko Show anazofanya
 
ndio nasikia hii... Pole kwa linex, ila mchizi naye masongi yote haya mnashindwa kulipa hela lodge.. Ni aibu..
But kudhalilishana kiasi hicho mi nengeweza hata kufungua kesi mahakamani
 
Ndio mana makonda alitaka kuwakomesha... Kuna kipindi wamerusha habari Mbunge kingu kuwa anatoka na Vanesa bila kumuhoji Kingu, ila wanajifanya walikataa kurusha habari ya Gwajima kisa Gwajima hajaojiwa
 
Hahaha kweli bro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao shilawadu nawaskia skia,Sema wanavofanya sio poa
kitendo cha kujiita mmbea ni kujidhalilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…