Harmonize asema hiyo siku alimkuta akiwa na Bodguard zake wawili akiwemo mmoja yule mmasai anaesemekana kuwa ni mpenzi wake wa zamani. Walisalimiana na Kupeana namba na baadaye yule mzungu ambaye ni sarah alikuwa wa kwanza kumtafuta Harmonize. Wakachati wakatongozana sasa hivi wanategemea mtoto.
Mzungu haeleweki ni mzuri au mbaya Wa sura kila saa jicho nalo limetolewa kama linang'oka vile..umri nao hujui ni kijana au Mzee na kila SAA sura imenuna nuna .....kipendacho roho kwl hula nyama mbichi
Mzungu haeleweki ni mzuri au mbaya Wa sura kila saa jicho nalo limetolewa kama linang'oka vile..umri nao hujui ni kijana au Mzee na kila SAA sura imenuna nuna .....kipendacho roho kwl hula nyama mbichi