Shilawadu watolewa nduki na mbwa nyumbani kwa Alikiba.

Freyzem

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2013
Posts
10,120
Reaction score
24,667
Imebainika kuwa licha ya vijana hawa wa shilawadu kuwa na kipaji cha kunyapia umbea, wanakipaji kingine cha ziada cha kukimbia mbio fupi na hata zile ndefu kwa kasi kubwa zaidi hata kumshinda Usain Bolt.
Hayo yamebainika baada ya vijana hao kunyapia umbea nyumbani kwa Alikiba mda wa usiku na kukutana na bonge la mbwa jike aitwae rubi ambae hata hakuwabwekea lakini kutokana na uzoefu na kumbukumbu za hivi karibuni za kuingiliwa katika eneo lao la kazi na machine gun za kisasa waliamua kufunga turbo kwenye miguu yao na kukimbia mbio mithili ya mashindano ya olympic hali iliyopelekea kukosa umbea uliowapeleka kwa King Kiba, mzee wa Aje anayemiliki BMWX5 la kisasa kabisa...
Uhondo zaidi tazama video hii...
 
Wanakazi ya ziada

Simpi Kiki kunguni wa mwendokasi
 
Yaah ndio hivyo bhaanaah...
Wanasaka ubuyu eikeiei kipusa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…