Shilingi hiyooooo yaporomoka

Hahahahahaha huyo dikteta anaweza kabisa kutoa hiyo kauli maana akili yake anaijua mwenyewe. Oops! Nilisahau kumbe ni kichaa.
"Tembeeni vifua mbere"
 
Reactions: BAK
Sisi wabeba mizigo porters tukiona bandiko kama hili tunacheka tuu [emoji23]. kama nlikua nkipewa Dollar 100 napata 223400 sasa hivi kwa hiyo Dollar 100 ntakuwa napata 241500. so what shilingi kuanguka.

Sent using Jamii Forums mobile app

Na kitu ulichokuwa unakinunua kwa 2500 sasa utakinunua kwa 3000. Kumbuka wafanyabishara huongeza bei zaidi ya hiyo fluctuation ya dola kufidia possible future fluctuations.
 
Nchi iko kwenye “lait talk” Seriously!? 😳
Ni wazi sasa huyu jamaa hakujiandaa kuongoza nchi kubwa kama hii.. Ni sawa na timu kubwa kuanza ligi huku wachezaji wakitokea nyumbani bila maandalizi wala kambi yeyote.
 
Ni janga kubwa la Taifa huyu. Mafisadi Kikwete na Mkapa wametuletea balaa kubwa nchini na huyu mhutu.

Ni wazi sasa huyu jamaa hakujiandaa kuongoza nchi kubwa kama hii.. Ni sawa na timu kubwa kuanza ligi huku wachezaji wakitokea nyumbani bila maandalizi wala kambi yeyote.
 
Amesindikiza ndege yetu ya atcl

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni janga kubwa la Taifa huyu. Mafisadi Kikwete na Mkapa wametuletea balaa kubwa nchini na huyu mhutu.
Mpaka amalize miaka yake kumi tutaambiwa "Tufunge Mikanda" tuanze upya!
 
Reactions: BAK
Mikanda imeshaanza kufungwa, fagio la chuma dhidi ya wafanyakazi wa Serikali liko njiani kwa sababu kwa mwendo huu mishahara ni lazima iwashinde tu hivyo kutakuwa hakuna jinsi bali kupunguza wafanyakazi kati ya 25% to 40%.

Mpaka amalize miaka yake kumi tutaambiwa "Tufunge Mikanda" tuanze upya!
 
Mikanda imeshaanza kufungwa, fagio la chuma dhidi ya wafanyakazi wa Serikali liko njiani kwa sababu kwa mwendo huu mishahara ni lazima iwashinde tu hivyo kutakuwa hakuna jinsi bali kupunguza wafanyakazi kati ya 25% to 40%.
Aiseee hilo fagio la chuma litaleta kilio kikuu mtaani, shida ni kwamba watanzania hatuna uzalendo wa kweli, tungekuwa wazalendo wa kweli muda huu tungekua tunaongea mengine.
 
Watasema Lissu kawaambia mabeberu wasitupe misaada.
Kwanza hakuna uhusino. According to economists hapo juu, vikwazo kwa investors, mazao kutouzwa na yote waliyoorodhesha ndo kiini plus kujenga infrustructres zinazohitaji dollars wakati tuna nunge !!!
 
kupanda kwa dola ni mambo ya kawaida hata ulaya yanatokea haya

Hata anguko la uchumi wa nchi mbali mbali za Ulaya unazozisema lilianza hivi hivi, mfano Uturuki kipindi kile. Lilipoanza walijitokeza watu kama wewe wakisema ni jambo la kawaida mbona hata Ugiriki imeshuka juzi, Uingereza ilipotetereka kidogo wakapata reference kubwa, mnaona hata wakubwa yamewakuta? Mwisho wa siku wakubwa walibaki wakubwa na wao wakaseleleka. Kama Taifa hatupaswi kushangilia tatizo litakalotuathiri sote bila kujali "Nani", lakini pia hatupaswi kutetea madhaifu yanayofanywa wazi na wasimamizi wetu kwa vile tu tuko mlengo mmoja. Suala la Korosho lilipoingiliwa na siasa tulipiga kelele tukijua ndilo zao kiongozi kwa mauzo ya nje baada ya Kahawa na Pamba kuzimia, lakini wengi wenu kama kawaida yenu kuunga mkono kila kitu mliitisha na maandamano ya Wakulima feki kuunga mkono juhudi ambazo kwa macho ya kawaida tu zilionekana tangu awali ni nguvu za Soda. Muda ni mwalimu lakini pia muda siyo rafiki wa mnafiki, mitutu mliyoweka kwenye biashara ya Korosho imebackfire. Kama Taifa tumebaki na magobore mikononi na risasi hazipigi. Sasa tunayo Makorosho yetu lakini Nani anayataka, maana sisi wenyewe tumesema bila aibu " Ni za daraja la 3"!! Sasa tunaiitaje Raja Casablanca ije icheze na Tindo ya Tabora? Akileta timu ya vijana tutamlaumu? Ndiyo hata sisi tulivyofanya tumewatangazia watu Korosho zetu kwa mwaka huu ni 2nd na 3rd class, kwa hiyo wakija na bei ya ya kuanzia ya 4th Class halafu wakapanda kidogo baada ya negotiation hadi 3rd class hatutakuwa na wa kulaumu maana tumesema wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna tatizo kubwa kuliko Korosho, hatuwezi kuwa nchi tegemezi la korosho na kama ni kweli basi ni aibu kubwa sana. maana nikisia majigambo ya wanasiasa sisi ni donor country halafu kumbe ni Korosho tu!! mimi nadhani sababu kubwa labda sina uhakika, hakuna tena direct investments na hata kilichopo ndani watu wanakitoa nje kwa hofu kwa maana watu na change Tsh kwa wingi kuhifadhi $ maana mwenye Tsh anogopa pesa yake inapoteza thamani na hii ikianza panic mode tu very soon utaambiwa hawauzi $ ila wananunua tu ujue hali ni mbaya na kurudisha imani ni process ndefu sana. Kuna sehemu Gov wamevuta kulipia miradi mikubwa BOT hawana uwezo tena control soko. Hii mambo ya kujisifia tumenunua kwa pesa zetu cash, mradi pesa yetu sasa unajiuliza cash hii ya $ imetoka wapi ya kufunds hizi projects. kwa maana nyepesi unatumia pesa kuliko uwezo wako na hata kitabu cha Mangi kimejaa madeni unahama duka lakini huko nako unajaza kitabu jirani hana uwezo nayeye au unawamaliza na majirani inabaki sasa ukubali matokeo. Jamani siasa pembeni lazima uchumi uachwe huru ili wafanya biashara wapate faida, walipe kodi, faida wawekeze tena, wa nje wavutiwe kuinvest sio kinyume cha hapo. kwa ufupi hakuna cha korosho wala nini ni siasa mbovu za uchumi ni time tukapiga break na kujithamini. Unatumia pesa nyingi kuliku uwezo wako halafu utegemee same results lazima utakuwa kwenye shida.
 
kupanda kwa dola ni mambo ya kawaida hata ulaya yanatokea haya
Ni kweli lakini wao wanaweka sababu hapohapo na huwa inashuka pia na zaidi wao siku zote wana balance trade maana wanauza kwa wingi na kununua sisi data lazima ziwekwe hadharana nini kiliingiza sana mwaka jana na leo nini kimeingiza tujuwe tumeteleza wapi. wenzetu stock exch wazi unaona biashara. hapa issue sio kuanguka tu ila sababu ni nini na forecast ikoje. sababu kubwa tuna export kidogo sana ila import almost kila kitu na hapo ndio tatizo kubwa sana.
 
jiwe anatamani atudanganye kwamba ameimarisha shilingi baada ya kuingia madarakani !
atadanganya wapi hili ?
Waziri anasema shilingi imeporomoka kutokana na low season ya utalii na koro show, je ni lini shilingi iliwahi kupanda dhidi ya dola tangu 2015 ?
Jiwe ameitoa tsh 2169 kwa dola 2015 na sasa kaifikisha tsh 2345 kwa dola..
THE KING OF FAILURE
wacha nikasukume dreamliner !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…