Shilingi hiyooooo yaporomoka

Na kitu ulichokuwa unakinunua kwa 2500 sasa utakinunua kwa 3000. Kumbuka wafanyabishara huongeza bei zaidi ya hiyo fluctuation ya dola kufidia possible future fluctuations.
Bado atakuwa na nafuu ukilinganisha na sisi tunaoipwa mshahara katika TZS.
 
Bado atakuwa na nafuu ukilinganisha na sisi tunaoipwa mshahara katika TZS.

Sawa atakuwa na unafuu, lakini yeye ameangalia upande mmoja wa kupata akasahau ule wenye maumivu. Hata hivyo kwangu mimi sioni unafuu wowote kwenye scenario ambayo mtu alievunjika mkono anadhani ni bora yeye kuliko alievunjika mguu.
 
Nina wasi wasi na mimi. Uchaguzi pia huwa unadhoofisha shilingi. Kuelekea 2020 itakuwa shida sana.
Waambie "wazalendo wa kweli" waandamane kuunga juhudi za kupolomosha shillingi kw graph hii mpka 2020 itkuwa 3500.
 
Hadi mwisho wa mwaka, naiona US$ 1 ikiwa sawa na TShs 3,000
 
Umenena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti wanataka Sera za kikomunist kuendesha uchumi
 
Ndio factor ya kushuka thamani ya shilingi kwasababu RC wa Dar es salaam sio msomi?

Au umeamua kumalizia hasira labda na chuki binafsi dhidi ya RC wa DSM mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Very well said but from this one man show government don’t expect any concrete measures to be taken in order to rescue our falling currency.
Mbigwa

Naona umepata pakuanzia(kudandia),hizi siasa za kuviziana tutafika vizazi kwa vizazi kufanikiwa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili likitokea kutakuwa na vilio vya kusaga meno kwani bidhaa muhimu hazitashikika kwa bei kubwa.

Hadi mwisho wa mwaka, naiona US$ 1 ikiwa sawa na TShs 3,000
 
Acha ujinga kama huna la maana la kuandika kaa kimya. Katiba imetupa haki Watanzania kujadili mazuri na mabaya yote bila kificho wala woga.
Sawa ila ujatoa solutions zaidi ya kubeza tu.

Au lengo lako ni kubeza tu halafu hauna majawabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zimbabwe here we come!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio factor ya kushuka thamani ya shilingi kwasababu RC wa Dar es salaam sio msomi?

Au umeamua kumalizia hasira labda na chuki binafsi dhidi ya RC wa DSM mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Unakumbuka maamuzi aliowahi kuyafanya ambayo yametu cost kama nchi nzima??? Sio kama mkoa tu, ila nchi nzima???

** Kamata kamata hovyo na ukandamizwaji wa raia/waandishi wa habari/wafanyabiashara n.k.

** Kutangaza majina hadharani ya watu wenye HESHIMA ZAO, MATAJIRI, MAASKOFU n.k. yakua wanauza na kutumia madawa ya kulevya. (Hayo yaliishia wapi??? Kuna mtu hata mmoja aliefungwa kama kweli walikua waliuza au walitumia madawa ya kulevya??? Imeathiri biashara ngapi za hao watu (Pamoja na ndugu na marafiki zao ambao ni wafanyabiashara wakubwa) kupelekea wakafunga, kama sio kupunguza wafanyakazi???)

** Mambo haya yametutangaza vipi kama nchi yetu???

● Anauwezo wa kukaa meza moja na WAFANYABIASHARA WAKUBWA, HIGH COMMISSIONS na Ma-PROFFESOR na kuongea nao nini kwa elimu aliokua nayo??? Ana ushawishi gani kwa hao watu???

● Ukizingatia ana BAN ya kuingia nchi zote za magharibi na marekani, anaushawishi gani wa kuvutia wawekezaji toka nchi tofauti duniani???

● Zingatia kasha anazopelekewa kama muasisi wa mambo kibao ya uvunjifu wa haki za binaadamu, sheria n.k

×××Jipange kwa hoja usikurupuke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…