Shilingi ya Kenya imeendelea kuporomoka

Kurzweil

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
6,621
Reaction score
8,411
Thamani ya shilingi ya Kenya yapungua mno dhidi ya dola ya Marekani ikionekana kuathiriwa na kesi inayopinga ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta katika uchaguzi wa marudio Oktoba 26.

 
Hamna huruma na hawa WatzeeπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Lakini kwa tsh vs ksh ya tz imezidi kudorora in 3013/14 ilikua 1 ksh = 18 tsh sahii 1ksh = 21tsh.


Alafu ukilinganisha na dollar mwish wa 2016

Dec 2016 1USD = 100.67ksh
Now this month 1USD =104ksh



Meanwhile
End of 2016: 1USD = 2140 Tsh
Right now 1ISD = 2241 TSH
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…