Shilling value down 43pc, says bureau

Mkuu kwanini tusisome wote ili tuweze kuelewa hiyo lugha wote? inabidi tuwafuate huko huko waliko ndio watashindwa kutuongopea.

Mkuu masomo yapo ya aina nyingi, wapo waliosomea uganga na wana uelewa mdogo wa saikolojia, kadhalika mtu moja hawezi kuwa amesoma masomo yote duniani. Unachokijuwa wewe kwa undani sio nachokijuwa mimi, na usomi wako hautaleta faida kwangu kama utashindwa kunieleza kile unachokijuwa kwa urahisi na kwa lugha nayoijuwa mimi; hapo elimu yako itakuwa imeshindwa kutoa faida husika.


Mkuu angalia husichanganye HYPOTHESIS na THEORY. Huyo aliyesema uchumi wa Tz umezamishwa na tikisiko la uchumi wa dunia ametoa hypothesis tu wala sio theory, na ceteris paribus inalinda theory sio hypothesis.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…