Ikifika 1us$=3,500Tsh ntafurahi sana.
Unamaanisha baada ya vita ya kagera?Eti nyerere alivyokuwa raisi uchumi ulisimama kivipi embu tueleze kwa sababu tulikuwepo enzi hizo tunakunywa uji wa chumvi kwa kukosa sukari ,tunavaa kaniki kwa kukosa nguo kwa mtu aliyetawala miaka25
Uchumi Unakua Kwa Kasi ya 7.9% tunategemea ukue hadi kufikia 7.2%,Acha pia na Tsh Ikue hadi 3,500 kwa Usd 1 kuhakisi ukuaji wa Uchumi wa nchi.Baadhi ya vyama nina mashaka navyo kama vina nia njema na nchi yetu, WATANZANIA TUWE MACHO