Shilole aamua kumtafuta 'Ticha' wa Kumfundisha Kimombo

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906

Msanii Shilole amesema ameamua kumtafuta mwalimu wa kumfundisha lugha ya Kiingereza inayompa shida kuwasiliana na watu mbalimbali.

‘’Ni kweli nataka nifundishwe vizuri najua kidogo tu vya kuungaunga ‘sometimes Yes sometimes No’ nataka kwenda mbali zaidi, nataka nisome kwa furaha zangu lakini sio kwenda chuo, wanaoenda chuo hawana hela mimi hela ninazo, unajua watu wanenda kusoma ‘english coz’ ili wapate hela mimi nasoma tu ili nikikutana na akina Beyonce nisipate shida nitasoma kwa mwezi mmoja kwa sababu kichwa change kiko vizuri’’ alisema Shilole.
 
kichwa chake kipo vizuri ?
Asituletee matakataka
 
Asee kapita pita pita zangu mitandaoni nimekutana na video ya Shilole akijisifu kwa kujiita "Bad girl"...Then akamalizia "Himself"....

Sijajua hii ni ya lini kama ni ya zamani au ni mpya...Swali langu ni kuwa hivi huyu demu kweli hajui kiingereza kiasi hichoo au anafanya makusudi tu ili tumuandike kama hivi?
 

Attachments

Tafiti background yake utagundua hata o level ya Igunga hajaifikia
 
Nakupenda Hivyohivyo..
Na Hizo Katani Zako Kichwani..
 
Mshamba
 
Nadhani hajui vizuri lakini pia wakati mwingine anakuwa anafanya kusudi ili apate kiki.
hapana cha kiki mzee, ni kweli kiingereza hajui ila anajaribujaribu tu na wakati mngine ndiyo hujifanya kama anafanya kusudi. angalia video zake zingine akiwa serious anazungumza kwa kiingereza halafu upate kucheka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…