Shilole anaomba msaada?

kedrick

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2015
Posts
5,080
Reaction score
4,914
Katika pita pita zangu katika mitandaoni nimekutana na huu ujumbe katika page Shilole kuomba msaada achangiwe ina maana mziki haumlipi.?

Au ndo kuna matapeli wanatumia fursa.?
 

Attachments

  • Screenshot_2015-08-09-13-18-40.png
    32.2 KB · Views: 1,617
Katika pita pita zangu katika mitandaoni nimekutana n huu ujumbe katika page shilole kuomba msaada achangiwe ina maana mziki haumlipi.? Au ndo kuna matapeli wanatumia fursa.?
Fake account! Kekundu kekundu ........
jichanganye....
 
Kwani anatakiwa kulipa faini au kafungiwa ?????????? Lakini kama nikipata udhibitisho kuwa kweli anahitaji hiyo hela na hiyo namba ni yake basi nitamchangia pasipo masharti wala maswali.
 
Umchangie wakati anazimake mbona hagawii mashabiki wake wa ukweli?
 
Kwani anatakiwa kulipa faini au kafungiwa ?????????? Lakini kama nikipata udhibitisho kuwa kweli anahitaji hiyo hela na hiyo namba ni yake basi nitamchangia pasipo masharti wala maswali.

Kifungo n kulipa faini vyote kwa pamoja sema cjajua km n yeye alie andika au mtu mwingine
 
Si juzi nilimsikia kwenye taarifa ya habari ya kituo kimoja cha TV akisema amelipwa dola 10000 ya show za marekani. Na bado kuna dili nyingine za matangazo amelipwa pesa nyingi sana
 
Si juzi nilimsikia kwenye taarifa ya habari ya kituo kimoja cha TV akisema amelipwa dola 10000 ya show za marekani. Na bado kuna dili nyingine za matangazo amelipwa pesa nyingi sana

Wanapenda sana sifa wakati hawana kitu hizo ni mbwembwe
 
Katika pita pita zangu katika mitandaoni nimekutana na huu ujumbe katika page Shilole kuomba msaada achangiwe ina maana mziki haumlipi.?

Au ndo kuna matapeli wanatumia fursa.?

Hata wale aliotamba kuwachukulia waume zao nao wamchangie?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…