Shilole Ayasifia Makalio Yake Na Kudai Kuwa Ni Original

Tigoooo wanatoaa mpakaa mikuunduu imewalegeaa ndio maanaa wamekazanaa makalioo kutuoneshaa

Tobaaa........

Ila inapokuja ishu ya makalio demu mweupe huwa una react negatively..........WHY........
 
ivi siku hiz mitako mikubwa dili?

Kama ni dili mbona hata wale wenye nayo...tena yale ya kibantu original wamegeukia uganga wa kienyeji, kwa kuuza miti shamba a.k.a tiba mbadala.....alianza Dokii na mitishamba yake...sasa hivi Witness the lady raper..
 
Hivi aliowataja pale wakina lina sanga, mkubwafella etc ndio.wanaomdiss au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…