Shilole anatarajia kusafiri kwenye nchini Afrika Kusini kufanya video ya wimbo wake Nyan'ganyan'ga na Justin Campos. Shishi ameiambia Bongo5 kuwa wiki ijayo atasafiri kwaajili ya kwenda kufanya kazi hiyo.
Nashukuru Mungu ngoma yangu (Nyan'ganyan'ga) inafanya vizuri katika media mbalimbali. Hapa ninavyoongea nipo kwenye maandalizi ya kwenda kufanya video Afrika Kusini. Video nafanya na Justin Campos na maandalizi yapo tayari wiki ijayo nitasafiri, amesema Shilole.
Hata hivyo Shilole hakuweka wazi iwapo kazi hiyo itatoka mwaka huu au mapema mwakani.
SOURCE ; BONGO5
Popote ilipo management yake, naipongeza saana. Wasanii wengi wamejitutumua kuwekeza kwenye video kali, nimefurahi na shilole ni mmojawapo ambae nae ataanza kuonekana kwenye vituo vikubwa vya tv Afrika mikiwemo MTV BASE, na TRACE INTL.. Hapa baadhi ya wasanii waige nao wajifunze kuwekeza video kali wakiwemo jamaa hawa Rich mavoko na Barnaba boy..
Nashukuru Mungu ngoma yangu (Nyan'ganyan'ga) inafanya vizuri katika media mbalimbali. Hapa ninavyoongea nipo kwenye maandalizi ya kwenda kufanya video Afrika Kusini. Video nafanya na Justin Campos na maandalizi yapo tayari wiki ijayo nitasafiri, amesema Shilole.
Hata hivyo Shilole hakuweka wazi iwapo kazi hiyo itatoka mwaka huu au mapema mwakani.
SOURCE ; BONGO5
Popote ilipo management yake, naipongeza saana. Wasanii wengi wamejitutumua kuwekeza kwenye video kali, nimefurahi na shilole ni mmojawapo ambae nae ataanza kuonekana kwenye vituo vikubwa vya tv Afrika mikiwemo MTV BASE, na TRACE INTL.. Hapa baadhi ya wasanii waige nao wajifunze kuwekeza video kali wakiwemo jamaa hawa Rich mavoko na Barnaba boy..