Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,515
- 28,506
ha haNIMEONA VIDEO FLANI INSTA AMEANZA KUTOA MAKUNYANZI HANA LOLOTE HAYO MA MAKE UP UKIKUTANA NAYE ASUBUHI YUPO KM BI CHAUDERE
Kamera ilizidishwa mwangaaaaaaaaaaaaDUU! SASA HUO WEUPE WA MKOROGO WA NINI? SIJAONA UASILI HAPO
Shilole amejigamba kwa kudai kuwa hakuna msanii mzuri kama yeye, kwani ana uzuri wa asili bila vipodozi.
Alikuwa akizungumza katika kipindi cha 5SELEKT cha EATV Jumanne hii.
“Mimi ni mwanamke mzuri without make up (bila vipodozi), unaweza ukaniamsha usingizini na nikaenda popote bila makeup, katika Bongofleva mimi ni mwanamke mzuri sana hamna anayebisha,” alisema Shilole.
Katika hatua nyingine Shilole amekanusha kutoka kimapenzi na msanii Nedy Music, baada ya kuzagaa picha katika mitandao ya kijamii zikimuonyesha wakiwa karibu zaidi na msahii huyo.
Labda ajishindanishe na Giggy mapesa
Teh teh...Shilole afadhali bana.. giggy tako linambebaMkuu mbona humtendei haki Giggy, yaani alinganishwe na Shilole!
Sema tu Giggy dish limekaa tenge, ila kitaa anahusika sana.
Teh teh...Shilole afadhali bana.. giggy tako linambeba
teh teh tehMkuu mbona humtendei haki Giggy, yaani alinganishwe na Shilole!
Sema tu Giggy dish limekaa tenge, ila kitaa anahusika sana.
Gigy ana tako zuri ila hajui kulitumia.Teh teh...Shilole afadhali bana.. giggy tako linambeba
Unamaanisha kashajizeekea??Mda wao wa kuspendi ulisha isha nadhani! awaachie wadogo zake kina tunda
hapa ndo point of interaction ingeanzia, tu-mention/list wanawake warembo kwenye ubongo wa fleiva then tu compare na shishi baby. ndo tutapata the right answer.She is actually right.....Au katika bongo fleva nani mtamfananisha na Badgalshishi............Huyu mtoto mtam sana