Kwendraaaaaaaaa
Shilole amejigamba kwa kudai kuwa hakuna msanii mzuri kama yeye, kwani ana uzuri wa asili bila vipodozi.
Alikuwa akizungumza katika kipindi cha 5SELEKT cha EATV Jumanne hii.
“Mimi ni mwanamke mzuri without make up (bila vipodozi), unaweza ukaniamsha usingizini na nikaenda popote bila makeup, katika Bongofleva mimi ni mwanamke mzuri sana hamna anayebisha,” alisema Shilole.
Katika hatua nyingine Shilole amekanusha kutoka kimapenzi na msanii Nedy Music, baada ya kuzagaa picha katika mitandao ya kijamii zikimuonyesha wakiwa karibu zaidi na msahii huyo.
Shilole amejigamba kwa kudai kuwa hakuna msanii mzuri kama yeye, kwani ana uzuri wa asili bila vipodozi.
Alikuwa akizungumza katika kipindi cha 5SELEKT cha EATV Jumanne hii.
“Mimi ni mwanamke mzuri without make up (bila vipodozi), unaweza ukaniamsha usingizini na nikaenda popote bila makeup, katika Bongofleva mimi ni mwanamke mzuri sana hamna anayebisha,” alisema Shilole.
Katika hatua nyingine Shilole amekanusha kutoka kimapenzi na msanii Nedy Music, baada ya kuzagaa picha katika mitandao ya kijamii zikimuonyesha wakiwa karibu zaidi na msahii huyo.
Pambaf.Ni mimi tu au nyonyo zake kwenye hiyo picha zinaonekana kubwa kuliko zilivyo?
Boob job au Wonderbra?
Hakuna nyonyo ya haja hapo ni kandambili tu hizo sema kazipiga Fundo na sidiria ikasupport.Ni mimi tu au nyonyo zake kwenye hiyo picha zinaonekana kubwa kuliko zilivyo?
Boob job au Wonderbra?
Si ali yaanika kwenye ile ziara yake tukayaona ata mdanganya nani?Matiti ameyabusti.
Na basi awe anatoka kunawa uso.Hawa waone kwenye TV na picha za kuedit mkuu, ukiwaona macho kwa macho utashangaa.
Maji tu hayo mkuu. Kwa maelezo zaidi wasiliana na RayDUU! SASA HUO WEUPE WA MKOROGO WA NINI? SIJAONA UASILI HAPO
Atakuwa ni miaka 21 yule.
Shilole amejigamba kwa kudai kuwa hakuna msanii mzuri kama yeye, kwani ana uzuri wa asili bila vipodozi.
Alikuwa akizungumza katika kipindi cha 5SELEKT cha EATV Jumanne hii.
“Mimi ni mwanamke mzuri without make up (bila vipodozi), unaweza ukaniamsha usingizini na nikaenda popote bila makeup, katika Bongofleva mimi ni mwanamke mzuri sana hamna anayebisha,” alisema Shilole.
Katika hatua nyingine Shilole amekanusha kutoka kimapenzi na msanii Nedy Music, baada ya kuzagaa picha katika mitandao ya kijamii zikimuonyesha wakiwa karibu zaidi na msahii huyo.
Nimemuuliza amesema ni zakeHebu niwaulize, hizo nywele kwenye picha hii ni zake kweli?
I [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji350] [emoji15] [emoji15] labda mwanae wa kwanzaAtakuwa ni miaka 21 yule.
hapa ndo point of interaction ingeanzia, tu-mention/list wanawake warembo kwenye ubongo wa fleiva then tu compare na shishi baby. ndo tutapata the right answer.
Mm mwenyewe nawashangaa mtajeni alie mzidi mimi naona ni kweli halafu labda vanesa mdee anakua no 2sasa wote mnabisha afu hamtaji hata mwanamziki ambaye mnaisi kamzidi, mi naona ni kweli yeye ndo kisu kuliko madem wote wanamuziki, anaepinga athibitishe kwa kumtaja aliemzur kuliko shishi ktka wanamuziktress(yan wanawake)
Mm sikubali twende tukamuulize tena haiwezekani bana au tumuulize mziwandaNimemuuliza amesema ni zake
Hivi yule giddy ni mchaga? Kilichombeba ni umri, sio tako, akifika 30s lile tako litanyauka, maana anaonekana kama wale wachaga fulani.Teh teh...Shilole afadhali bana.. giggy tako linambeba
Mdee hamna kitu kwangu, huyu dada kwangu sijawahi muona ana mvuto ingawa analazimisha kuwa na mvuto.Mm mwenyewe nawashangaa mtajeni alie mzidi mimi naona ni kweli halafu labda vanesa mdee anakua no 2