X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
Inategemea kuna wazee kwanzia 65 wanapiga show kama wana 18,tuseme tu ni tabia ya shishi kupenda vivulana.Jamani acheni unafiki hata na wanaume wa 40 plus kwa hivi vi 20's hatujambo! Yaani ule utofauti wa umri una raha sana kwa mmoja wapo!mwacheni Shishi apate mgegedo non stop hizo za wazee wenzake mpaka zipepewe ,alot of intervals tena loong intervals za nini?
Kwasababu havijui haki zaoHivi shilole kwanini anapenda kuwachukua vijana wadogo?
Ni kwamba wanamfurahisha zaidi kitandani au sababu anaweza kuwamudu kwa kuwapiga makofi? Kama ilivyo kwa Madee mpaka akamkana demu wake wa zamani Zahra?....
Siri ya shilole ni nini haswa?.
Huyo naye anayezama chumvini kwa shilole ana moyo wa chumalabda ni rahis kuwaamlisha wazame chumvini.
How old is Shilole? and how old are the "watoto wadogo"Hivi shilole kwanini anapenda kuwachukua vijana wadogo?
Ni kwamba wanamfurahisha zaidi kitandani au sababu anaweza kuwamudu kwa kuwapiga makofi? Kama ilivyo kwa Madee mpaka akamkana demu wake wa zamani Zahra?....
Siri ya shilole ni nini haswa?.
anaviondoa spidi huku akitungia wimboVikiua vinaondoka.
Nshawai kuwa Kwenye Mahusiano na Dada ambaye kanipita Miaka 3 Daaaaaaahhh alikuwa ananikubali Though Sometimes Nilikiwa namzibua, Na Alikuwa ananiheshimu Vibaya Mno. Kutoa Hela Hadi Nijickie sometimes alikuwa Ananipa yeye. Nilipokuja kufaham amenizidi Umri hivo Nkamkataa, Nkaenda Kwa Wenzangu Daaaaaaahh Huko Full Usumbufu. Hamna Heshima usipompa Hela Anakununia Week. Doooooohhh Nkamkumbuka Yule yule kurudi Kanielewa Kwanini Nisitulie naeHivi shilole kwanini anapenda kuwachukua vijana wadogo?
Ni kwamba wanamfurahisha zaidi kitandani au sababu anaweza kuwamudu kwa kuwapiga makofi? Kama ilivyo kwa Madee mpaka akamkana demu wake wa zamani Zahra?....
Siri ya shilole ni nini haswa?.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji85]Vikiua vinaondoka.
Acha atafunwe tu.Vikiua vinaondoka.
Shilole - Mtoto Mdogo Ft Man Fongo | Download | Bongo ExclusiveHivi shilole kwanini anapenda kuwachukua vijana wadogo?
Ni kwamba wanamfurahisha zaidi kitandani au sababu anaweza kuwamudu kwa kuwapiga makofi? Kama ilivyo kwa Madee mpaka akamkana demu wake wa zamani Zahra?....
Siri ya shilole ni nini haswa?.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mi nilidhani mauno ni wazaramo na watu wa Tanga tuuShilole ni mtu wa Igunga (Tabora) na wanyamwezi Kwa mauno ni shidaa acha wamle tu
kuna msemo unaosema ujana rahaNyie endeleeni kubadilishana midenda kunuka na wazee wenzenu!mwendo ni "me" kugegeduka na twigwa girls na "ke" serengeti boys!
We kama una lets say 35 tu halafu kutana na classmate wako "ke" uliokuwa unawazimia kama utawatamani tena!hao waume zao hadi wivu no wanatoa ruksa "nenda baby kwenye huo mkutano wenu wa ly 95 hata ukirudi kesho hamna noma" manina uzee!