Shilole Namkubali Sana!

Shilole Namkubali Sana!

Richard Mlangi

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2012
Posts
380
Reaction score
193
Shilole ni msanii wa kike ambaye kwa hakika muziki wake unahit sana popote.

Ukipigwa club, bar, promo nk lazima watu wainuke.

Big up Shilole
 
Huyu dada ni mkali !
Kama ulikuwepo nipo club inapigwa "nakomaa na jiji la dar"
 
Eheeeee.. Ndo Mka100 ashampa onyo juu ya nyimbo na mauno yake kukosa maadili..over
 
Shilole ni msanii wa kike ambaye kwa hakika muziki wake unahit sana popote.

Ukipigwa club, bar, promo nk lazima watu wainuke.

Big up Shilole


Mi naukubali Uch.. wake tuu!..una rangi natural na ya mkorogo. unavutia
 
simpendi hata kidogo huyu demu wa wasannii!!

We unamkubali Beyonce tu !
... itatuchukua muda utumwa kututoka nasi tuanze kujikubali.
Ukweli ni kuwa huyu dada anafanya vizuri sana !
 
Back
Top Bottom