Richard Mlangi
JF-Expert Member
- Sep 10, 2012
- 380
- 193
Shilole ni msanii wa kike ambaye kwa hakika muziki wake unahit sana popote.
Ukipigwa club, bar, promo nk lazima watu wainuke.
Big up Shilole
Mi naukubali Uch.. wake tuu!..una rangi natural na ya mkorogo. unavutia
Hata simkubali
simpendi hata kidogo huyu demu wa wasannii!!