SHILOLE: Wa kufaidi penzi langu awe nazo

wtu watammega na kusepa..kumbe yeye shida yake ni mipesa
 
jamani mwambieni aje huku arusha, kama ni pesa 2 hamna shida atapata pesa anazotaka, lakn aje akiwa bikra na si yakutengeneza.
 

Duuu!!Mungu tusaidie.Halafu hizi nyimbo za pwani mbona kama ni matusi jamani...Huko kucheza kweli kunaruhusiwa na Baraza la sanaa???????
 
hana lolote, anauza mapenzi? aende kwa akina kanumba wamchezee then alainike kama wema
 
Haya maneno awambie wengine sio mimi. Anakera kwa kuomba omba. Mara Vocha mara ................................Ahaaaaaaaaaaaaaa Bure kabisa
 
cku zote wanaoyabahatisha maisha kidogo ukubwani wanamatatizo kama shillole

Ama kweli pata pesa tujue tabia yako
 

Hamna kitu humo
 
C apeleke kwa mengi, bakhressa au manji coz c ndo wanaaminika wanazo???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…